bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
somesha watoto wako ili waweze kujiajiri usisubiri ajira serikaliniKwahiyo tuwapeleke mabinti zenu wakawe ma house girl Oman badala ya serikali kuwatafutia ajira nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
somesha watoto wako ili waweze kujiajiri usisubiri ajira serikaliniKwahiyo tuwapeleke mabinti zenu wakawe ma house girl Oman badala ya serikali kuwatafutia ajira nchini
Mishahara huko wastani kiasi gani ukikiweka kwa Tsh?
Philippines inaongoza duniani ku export wasichana wa kaziNchi inajisifia kuzalisha wadada wa kazi kwenda nje ya nchi🤔
Tanzania tunasafari ndefu san
Tulivyo watumwa wa fikra hadi eneo huko kondoa linaitwa Muscat kwa sababu kuna ma hg wengi wanatoka hapo.Nchi inajisifia kuzalisha wadada wa kazi kwenda nje ya nchi🤔
Tanzania tunasafari ndefu san
Rangi zao pia zinawabeba, akipiga hijab hana tofauti na mwarabu hadi uone nywele.Mabinti wa Kirangi sifa zao mnazijua vizur, bila shaka watakuwa wanakiwasha huko Uarabuni
VIONGOZI Hawa Upeo Wao Ni Mdogo Sana SanaKwahiyo tuwapeleke mabinti zenu wakawe ma house girl Oman badala ya serikali kuwatafutia ajira nchini
Mishahara huko wastani kiasi gani ukikiweka kwa Tsh?
Ndio maana siku hizi kupata Hauz gelo ni shida kumbe mnaexport......hii nchi ina siri mbona hamsemi.