M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Baada ya kifo cha ghafla cha Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mamlaka Kuu ya Uteuzi imemteua Balozi Mwanazuoni wa Siku nyingi Mhe. Kuhanga kuwa Mkuu Mpya wa CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.