Balozi Mahiga: Tumepokea ripoti za Amnesty International Human Rights watch na tutajibu kipengele kwa kipengele

Balozi Mahiga: Tumepokea ripoti za Amnesty International Human Rights watch na tutajibu kipengele kwa kipengele

Hili swali na mimi nimejiuliza sana

Ila technically, Balozi Mahiga Ni waziri wa wizara mbili mambo ya nje japo sio official na katiba na sheria ambayo ni officielle

Prof kabudi kapwaya sana mambo ya nje
Hivi Waziri Mahiga bado ni Waziri wa Mambo ya Nje?

Juzi nilimuona akitolea ufafanuzi mambo ya China nikashangaa, Waziri wa Katiba na Sheria anafanya kazi ya Waziri Kabudi nikajiuliza au Magufuli alikurupa kumuondoa jamaa?.
 
Wapo wanaochekelea nchi yetu itengwe kimataifa au tufanane na Zimbabwe au Burundi .Hakuna haja ya kufika huko kilichopo nikujitathimini katika mfumo wetu wa uongozi.Tuachane na mfumo wa autocratic system nchi ni ya wananchi wote wa Tanzania pasiwepo na tabaka ya kikundi a clique kujiona wao ndio wenye mandate yakushika hatamu kwa kuwabaguwa makundi mengine katika jamii. Flexibility inahitajika kuimarisha demokrasia yetu,kuondoa sheria gandamizi ziendane na ulimwengu wa kisasa
 
Kama tunaanza kujitoa ama kutaka baadhi ya vifungu vinavyolinda haki za binadamu viondolewe kwenye sheria za Mahakama ya Haki za Binadamu ya Africa yenye makao makuu yake Arusha, basi tumeanza kuelekea pabaya sana. Rwanda walifanya hivyo kwasababu moja tu; dikteta wa nchi hiyo anataka asibanwe na vifungu fulanifulani vya sheria. Hata sisi tumefika huko? Tuombe Mungu atusaidie.
 
Kama tunaanza kujitoa ama kutaka baadhi ya vifungu vinavyolinda haki za binadamu viondolewe kwenye sheria za Mahakama ya Haki za Binadamu ya Africa yenye makao makuu yake Arusha, basi tumeanza kuelekea pabaya sana. Rwanda walifanya hivyo kwasababu moja tu; dikteta wa nchi hiyo anataka asibanwe na vifungu fulanifulani vya sheria. Hata sisi tumefika huko? Tuombe Mungu atusaidie.
Mi naomba Mungu afanye wepesi wanaofanya hivyo awashughulikie haraka iwezekanavyo, ulimbukeni wa madaraka kwa waafrika unasumbua sana.
 
Mzee ana kazi ngumu, hizo balozi sijui kashazijibu tayari?
 
Back
Top Bottom