Balozi Nchimbi asimamishwa Ndanda, ampigia simu Waziri TAMISEMI, nae apokea maelekezo ujenzi wa kituo cha afya

Balozi Nchimbi asimamishwa Ndanda, ampigia simu Waziri TAMISEMI, nae apokea maelekezo ujenzi wa kituo cha afya

Kwenye vitu serious utani weka pembeni kwenye msiba usilete utani wa ngumi utasababisha kutokee msiba mwingine Mzee we namna gani kuna shida gani hapo?
Utani na shida viko wapi ..Jombaa:?! CCM waongo tu..Nchimbi hawezi kusimamisha peke yake bila Upendo Peneza.
 
Makonda alipofanya haya alipigwa nyundo kila mahali,kumbe walitaka wao ndo wafanye daaaaah
Makonda anakubalshia nini? Huyo zero brain bashite aliigia huo upuudhi kutoka kwa mjinga polepole.
Serikali haiwezi kuendeshwa kimaigizo namna hiyo
 
Back
Top Bottom