National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mwendelezo wa watu kufa, siku haipiti siku mbili tanziaKulikon mkuu. Am 34 na Bado Niko hai. Baloz 84 katangulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendelezo wa watu kufa, siku haipiti siku mbili tanziaKulikon mkuu. Am 34 na Bado Niko hai. Baloz 84 katangulia
Umesahau kuwa hata baba wa taifa alifia ughaibuni aliko kwenda kutibiwa, so ni kawaida kwa viongozi kufia nje ya nchiRIP Mh.Rupia, na pole mno kwa familia yake,kwetu umeacha mafundisho mema ILA working class yetu ijifunze hapa kuwa ni wakati wa kujenga nchi yetu kwa akili na kuwa smart, amefia SA!sio mwananyamala Hosp, Mara Hospital bali netcare, med clinic ughaibuni
Hata hivyo 84 yrs is not a joke ! Wanasemaga amekula chumvi nyingi. ! RIP Bolozi na poleni wafiwa hiyo njia ni ya wote hakuna mwenye ubavu wa kuikwepa ! Just a matter of time !!Mwendelezo wa watu kufa, siku haipiti siku mbili tanzia
Aliwahi kuwa mbunge? Je Kwa kuvua viatu kunamfanya asiwe muungwana?Kawaulize watu wa Ujinga alipokuwa mbunge wao aliwafanyaje.Aliwahi kutwambia kwamba wakati wanasoma Minaki walikuwa hawaruhusiwi kuvaa viatu.Kwakuwa kwao wao walikuwa matajiri,wao walikuwa wanaenda na viatu wakikaribia kufika shule wnavivua wanavificha kwenye vichaka.
Huyu Muhangaza wa Ngara alikuwa Governor wa BoT. Alifariki 1993 kama sikosei. may he RIP.Nmemkumbuka smbdy rutihinda
Hebu aanzisha uzi tupe 1,2,3
Zake basi
Ova
Umenikumbusha msiba wa p.bomaniHuu Msiba wa Tajiri kama huyu Sisi Watu wa Uswahilini hatutakiwi kabisa Kuukosa kwani huko Msibani ni Vyuku tu, Soda na Maji ya Hill Water, ila Ukivimbiwa utatafuta kwa kwenda Kushusha Migogo yako.