Balozi Polepole jitokeze sasa tukuunge mkono kuwakataa wahuni

Basil mramba alipiga nyingi lakini yu wapi saa hii.



Pesa sio kila kitu.ndio maana maskini wenye upendo wa kweli,wanayo furaha ya kweli maishani,kuliko tajiri mwenye wasiwasi.

Sawa,nimekuelewa Sasa! 😥
 
Awamu hii huwa nataype nikitetemeka maana ukikosoa tu unaweza jikuta mahali pabaya mno. Na mleta mada umetoa mifano hai.
Kweli mkuu ila awamu ya Jiwe ilivunja rekodi ukiigusa tu risasi 38 zinakuhusu au utaokotwa kwenye kiroba mtoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo akiwa hajaanza kuingia 18 za kikwete....alikuwa vizuri,lakini tangu alipokubali kuwa remote controled.....shida ikaanzia hapo.
Asali walambe tu ila Magu (RIP ) aliondoka keshatufungua macho. Tutawapa majibu 2025.
 
We nahsi utakuwa pacha wangu ,kwa konzi kitamu balaa hafu kinatoa sauti ka kigae cha juani
 
Humtaki mema pole pole wewe au unataka awe korimba ndiyo ufurahie
 
Rais wa mpito mwisho wa nchi ya Cambodia mwisho wake ni 2025. Ifahamike hivyo na ndivyo itakuwa. Liwake jua, inyeshe Mvua Uraisi wa mpito nchini Cambodia mwisho wake 2025.
 
We nahsi utakuwa pacha wangu ,kwa konzi kitamu balaa hafu kinatoa sauti ka kigae cha juani
Haha, ndo zilikua kesi zangu shule hizi... kukwaa watoto wa watu makonzi. Hivi vichwa vina raha yake aisee kusugua kwenzi.
 
Haha, ndo zilikua kesi zangu shule hizi... kukwaa watoto wa watu makonzi. Hivi vichwa vina raha yake aisee kusugua kwenzi.
Ila ndani yake kuna madini adimu sana mkuu!
 
Pole pole Hana kitu. Lowassa alikuwa na nguvu lakini alipigwa Chini sembuse pole pole mgeni kwenye chama.

 
Pole pole Hana kitu. Lowassa alikuwa na nguvu lakini alipigwa Chini sembuse pole pole mgeni kwenye chama.
Suala sio ugeni wa chama bali ni kuachana na CCM kabisaa!

Sidhani kama shida au matatizo yanayowapata watanzania nayo ni mageni.

Hapa siongelei Polepole akiwa ndani ya CCM. ..bali akiwa nje ya CCM.

Tunahitaji chama kipya na chenye watu wenye nia thabiti ya kuitumikia nchi hii na kuukomesha uhuni wa kisiasa unaoendelea kila uchao.
 
Unafanya mchezo na njaa , Polepole anasema yuko tayari kuwa mpika chai wa serikali
 
Kwa maoni yangu, ili kunusuru chama, huyu ndiye mtu pekee anayeweza kupeperusha bendera kwenye ngazi ya Urais pale CCM na akawa na ushawishi.

Tena kabla ya uchaguzi chama kiwatimue uanachama wahuni wote kwani Polepole anawajua vyema (rejea kampeni yake ya #KataaWahuni)

Vinginevyo watu watasusia uchaguzi, zama zimebadilika ndugu zangu wa CCM, chama kiko hoi na kitafia mikononi mwa Samia endapo mtaacha mambo yaende hivi.
 
Sawa
Tukumbuke tu Binadamu hawaaminiki mkuu.

leo anaweza kuwa katili, mlevi, mzinzi, mwizi, Muongo lakini kesho unamkuta kwenye nyumba ya ibaada anatubu na kuwa mwema.
LAKINI na kinyume chake ni Sahii.
 
Katiba ni kitabu tu km kilivyo kotabu cha 'Kilio Chetu' nyinyi nini Bwana MIJITU mingine mnasumbua tu (in SSH voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…