Balozi Polepole kapotelea Cuba, ameungana na Kabudi na Dr. Bashiru Ali kujisomea majarida. Maskini kutoboa si kazi ndogo!

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Polepole amejitahidi kuandika andika na kusema ila mwisho ameishiwa pumzi baada ya vyombo vya habari kumkataa pamoja na mvuto kwenye social media kupotea.

Huyu ni moja ya watu waliotoka familia maskini kama ilivyo kwa Bashiru na Kabudi. Kwa kuonekana wanataka kukitutumua familia za kifalme zikaona hawa ngozi nyeusi isiyokuwa na uzungu tukiwapa airtime watatuondoa kwenye madaraka na watoto wetu.

Kabudi alitamka kwamba ametoka majalalani kwenye salary isiyozidi milioni tano kwa mwezi; na sasa wote hawa mapato yao kwa mwezi hayafiki milioni tano. Means kwa fedha hizi hakuna kuendesha shangingi binafsi wala kula mahoteli makubwa.

Mliotoka familia za chini msipoungana kila siku mtakuwa viongozi wasioongoza. Piganeni msafishe kizazi cha wanufaika wa mfumo ili mjitwalie nafasi za maamuzi nchi iweze kwenda mbele.
 
Balozi Polepole yuko India weekend hii akiongea na wa Tanzania diaspora.
 
" Wote Hawa mapato Yao kwa mwezi hayafiki million Tano" Baada ya kusoma hapo ndiyo nikagundua haupo Sawa kichwani... Kwanza nikajiuliza wewe unayesema hivyo kipato chako kwa mwezi ni kiasi Gani? Ni kweli umekuja na hoja ya kuzungumzia kipato cha kabudi,bashiru na polepole? Tibu haraka tatizo la akili kabla hujaharibikiwa kabisa
 
ok sawa
 
Maneno mazito !
 
Ngoja aje olepole, utajuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…