Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Tena kwa upole bila vumbi kutimkaKaingia kwenye 18 vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kwa upole bila vumbi kutimkaKaingia kwenye 18 vizuri
Ndiyo mkome, unafiki ni sumu....mabingwa wa keyboards katika ubora wao, uoga,unafiki na effects za umasikini ujinga na maradhi zimetukamata mno
Amelowa jasho acha akapumzike Lilongwe akajifunze Kichewa na uzalendo.Sasa ile shule ya uongozi aliyokuwa anajitapa kuifundisha haijasaidia kwenye masuala haya ya diplomasia?
Si mlisema atakataa 😁😁😁“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa wat...
Unakataa wakatu Ubunge wenyewe wakuteuliwa?Si mlisema atakataa [emoji16][emoji16][emoji16]
Tanzania yetu ina watu wachache sana wa kufikili kama unavyo fikili wewe, wengi huruhusu chuki na wivu kutawala wakati wa kuchangia. Jamaa anajaza CV kibao watanzania wahuni wanamkejeli.Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Waswahili tuendelee na utamaduni wetu kwa muuza kahawa.
Alitumbuliwa yuleSio yule jamaa aliteuliwa na Magu akaanza kuaga kila mtu hadi zenji alienda Magu akampiga mkwara karipoti
Tusubiri mana Ccm sio watu wazuri wahuni wengiKavu lipi wakati wanamuogopa
[emoji15][emoji15][emoji15] sikujuagaAlitumbuliwa yule
Sasa teacher etu anapelekwaje shule tena? Hongera Balozi Polepole [emoji23][emoji23][emoji23]Hongera sana Ambassador Polepole.
Dean anaondoka nchini wanafunzi tufanye nini?Sasa teacher etu anapelekwaje shule tena? Hongera Balozi Polepole [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mpuuzi snTena kwa upole bila vumbi kutimka
Yeye mwenyewe nasikia ana chuo chake cha diplomasia“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSHView attachment 2151396
Msosi hautopanda hata kidogoHili ni bonge la biti ni kama home umekosa dingi anakuambia kale kwanza halafu tutaongea baadae
Atasoma cha SerikaliYeye mwenyewe nasikia ana chuo chake cha diplomasia
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Msosi hautopanda hata kidogo