Balozi Polepole kuanzia chuo cha Diplomasia apigwe msasa then akutane na Rais kabla ya kutimkia Malawi

Balozi Polepole kuanzia chuo cha Diplomasia apigwe msasa then akutane na Rais kabla ya kutimkia Malawi

Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.

Waswahili tuendelee na utamaduni wetu kwa muuza kahawa.
Tanzania yetu ina watu wachache sana wa kufikili kama unavyo fikili wewe, wengi huruhusu chuki na wivu kutawala wakati wa kuchangia. Jamaa anajaza CV kibao watanzania wahuni wanamkejeli.

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.

#MwananchiUpdates

Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSHView attachment 2151396
Yeye mwenyewe nasikia ana chuo chake cha diplomasia
 
Back
Top Bottom