TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Naitumia hii as kauli mbiu, good.Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naitumia hii as kauli mbiu, good.Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.Amelowa jasho acha akapumzike Lilongwe akajifunze Kichewa na uzalendo.
Kijembe tu kapigwa kuwa yeye ndo anatakiwa apigwe shule😄Sasa ile shule ya uongozi aliyokuwa anajitapa kuifundisha haijasaidia kwenye masuala haya ya diplomasia?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] paper tena? Na [emoji382][emoji382][emoji382]Akienda kwa rais anampigisha Pepa alafu ndiyo akachanje aende Malawi.
Kuliko kupoteza rasilimali ya kufundisha watu Diplomasia kwanini wasitafute mtu ambaye ameshaiva tayari ?
Kwangu mimi ni either wewe mwanadiplomasia au sio haya mambo sio ya kufundishana wala kupigana misasa...,
Tuoneeni basi huruma kodi za wabangaizaji
Mjinga sn yuleHamalizi mwaka akiwa balozi, Malawi anaenda kubanikwa, mafuta ya kujikaangia hana, amekondeana sana kama mti
PolepoleKwasasa balozi wa Tz nchini Malawi ni nani?
Hongera barozi polepole..
Kwani ubunge kapewa na mam au jpmSijui watu mmeichukuliaje hii issue ila kwa upande wangu naona maza ndo anamuogopa polepole kama alikuwa hamtaki angemtoa tu kwenye ukatibu uenez halaf angemkaushia
Hii ya kumpa ubunge Mara ubalozi naona maza anatapatapa tu na anazid kumuongezea umaarufu huyu dogo
Kule alikua mpayukaji tu,sasa wanaogopa kule atapayuka tena. So wanamdispline kwanza. "Avumae Baharini.. na wengine."...?Sasa ile shule ya uongozi aliyokuwa anajitapa kuifundisha haijasaidia kwenye masuala haya ya diplomasia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu sometimes huwa nahisi chadema wana washabiki wajinga kuliko watu wote dunianiNyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Waswahili tuendelee na utamaduni wetu kwa muuza kahawa.
Acha kukurupuka, ubunge aliteuliwa na magufuliSijui watu mmeichukuliaje hii issue ila kwa upande wangu naona maza ndo anamuogopa polepole kama alikuwa hamtaki angemtoa tu kwenye ukatibu uenez halaf angemkaushia
Hii ya kumpa ubunge Mara ubalozi naona maza anatapatapa tu na anazid kumuongezea umaarufu huyu dogo
Angekuwa kiboko angeitumia ccm kumfuta uanachama na hapo angempoteza mazima ila hii aliyoifanya ni kumuongezea mwendo kwenye siasa!Pale mwalimu wa shule ya uongozi anapopelekwa shule halisi ya uongozi akasomee uongozi.
Mama Samia kiboko yao.[emoji1][emoji1]
Anapewaje umaarufu wakati ni Mpinga Chanjo ya COVID-19? Unafikili atakanyaga Malawi bila COVID-19 CertificatSijui watu mmeichukuliaje hii issue ila kwa upande wangu naona maza ndo anamuogopa polepole kama alikuwa hamtaki angemtoa tu kwenye ukatibu uenez halaf angemkaushia
Hii ya kumpa ubunge Mara ubalozi naona maza anatapatapa tu na anazid kumuongezea umaarufu huyu dogo
Alikua ManguSio yule jamaa aliteuliwa na Magu akaanza kuaga kila mtu hadi zenji alienda Magu akampiga mkwara karipoti