mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
Kutokana muonekano wake sidhani kama kafikisha umri wa miaka 42 ama kidogo zaidi ya hapo.Ana umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokana muonekano wake sidhani kama kafikisha umri wa miaka 42 ama kidogo zaidi ya hapo.Ana umri gani?
Njaa mtaalam.Njaa Haina baunsa,na boss hanuniwi.Kaingia kwenye 18 vizuri
Tena pamoja na familia yake au watu wote atakaokwenda kuishi nao, hakuna kitu kipya hapo ni utaratibu wa kawaida tu kama ulivyosema mdau.Ni utaratibu wa kawaida kwa mabalozi wote wanaoteuliwa lazima wapigwe msasa.
Huwezi kujibiwa swali hili kiufasaha.Ana umri gani?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1340][emoji1340][emoji1340][emoji1340][emoji1340][emoji1341][emoji1341][emoji1341][emoji1341]Ningekuwa Mimi ssh Polepole ningempeleka chuo Cha ubaharia akajifunze Uchumi wa buluu wa kuogelea ziwa Nyasa kwa wamanda wenzake
Aibu sn mkuuNjaa mtaalam.Njaa Haina baunsa,na boss hanuniwi.
Mjinga snkama kuku kwenye banda
Mama anamweka pembeni kila mtu ambeye ni tishio kwake. List hii ilikua inamtisha sana. Majaliwa, Ndugai, Polepole, Kabudi, Lukuvi. Ukisikia Sukuma gan ndio hao japo kwa kabila zao sio wote wasukuma. Baada ya Ndugai kung'olewa uspika Majaliwa hana ubavu tena zaidi ya kunyenyekea kwa mama. Si mnakumbuka ile kauli ya mama kule A town wakati anamchamba Ndugai? Alisema hivi....'Nilikua naskia sikikia huko bungeni kwa kina majaliwa....' Hii kauli hakulenga mtu mmoja bali kikundi kileee kilichokua kinajiandaa na 2025.“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.
View attachment 2151396
Hapungui 54 to 56.Kutokana muonekano wake sidhani kama kafikisha umri wa miaka 42 ama kidogo zaidi ya hapo.
Ubunge alipewa na Jiwe.Sijui watu mmeichukuliaje hii issue ila kwa upande wangu naona maza ndo anamuogopa polepole kama alikuwa hamtaki angemtoa tu kwenye ukatibu uenez halaf angemkaushia
Hii ya kumpa ubunge Mara ubalozi naona maza anatapatapa tu na anazid kumuongezea umaarufu huyu dogo
District CommissionerKatika kipindi cha miaka nane tu Polepole anaendelea kuboresha wasifu wake kwa mawe mazito mazito tu;
- Mjumbe wa kamati ya rasimu ya katiba
- Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM
- Mbunge wa kuteuliwa katika Bunge la JMT
- Shahada ya uzamili IDS UDSM
- Cheti cha ushiriki masuala ya kidemokrasia kutoka Chuo cha Demokrasia
- Balozi wa Tanzania nchini Malawi
Kwa umri wake huu ni mtaji mkubwa sana kwake. Akiwa huko Malawi kama balozi anaweza pua kusoma shahada yake nyingine ya uzamivu taratiiiibu.
Kwangu mimi Polepole ni shujaa aliweka wazi msimamo wake na aliwataka wakipenda wachukue ubunge wao. Inaonekana wameamua kuchukua kiaina.“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.
View attachment 2151396
[emoji1756][emoji1756]Kwangu mimi Polepole ni shujaa aliweka wazi msimamo wake na aliwataka wakipenda wachukue ubunge wao. Inaonekana wameamua kuchukua kiaina.
Na hili litadhihirika pale watakapomtumbua bila sababu ndani ya muda mfupi ujao.
Wameamua kutusahaulisha na kweli tunasahu maana wanajua ataonekana shujaa aliesimamia msimamo wake
Hili dongo nalikumbuka, maza ni noma sanaMama anamweka pembeni kila mtu ambeye ni tishio kwake. List hii ilikua inamtisha sana. Majaliwa, Ndugai, Polepole, Kabudi, Lukuvi. Ukisikia Sukuma gan ndio hao japo kwa kabila zao sio wote wasukuma. Baada ya Ndugai kung'olewa uspika Majaliwa hana ubavu tena zaidi ya kunyenyekea kwa mama. Si mnakumbuka ile kauli ya mama kule A town wakati anamchamba Ndugai? Alisema hivi....'Nilikua naskia sikikia huko bungeni kwa kina majaliwa....' Hii kauli hakulenga mtu mmoja bali kikundi kileee kilichokua kinajiandaa na 2025.
Aliingia akitokea wapi mkuu?Hapungui 54 to 56.
Ameingia Dar 1988 kuja kuanza form 5 Pugu
Kwakweli sifahamu kwa sababu yeye mwenyewe hakusema alitokea wapi.Aliingia akitokea wapi mkuu?
OK, Kwimage (Asante) 😄😀😀😀Kwakweli sifahamu kwa sababu yeye mwenyewe hakusema alitokea wapi.
Alisema tu kwamba akiingia jiji la Dar mwaka huo aliotaja wakati anaji boast kwa wale aliowaita wahuni, wale ambao yeye alikuwa anaitwa kiroboto.