Balozi Polepole kuanzia chuo cha Diplomasia apigwe msasa then akutane na Rais kabla ya kutimkia Malawi

Ningekuwa Mimi ssh Polepole ningempeleka chuo Cha ubaharia akajifunze Uchumi wa buluu wa kuogelea ziwa Nyasa kwa wamanda wenzake
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1340][emoji1340][emoji1340][emoji1340][emoji1340][emoji1341][emoji1341][emoji1341][emoji1341]
 
Sasa kuna balozi anayeondoka Kama mwizi jamani?,alichoongea Samia ni sahihi kabisa...
 
Mama anamweka pembeni kila mtu ambeye ni tishio kwake. List hii ilikua inamtisha sana. Majaliwa, Ndugai, Polepole, Kabudi, Lukuvi. Ukisikia Sukuma gan ndio hao japo kwa kabila zao sio wote wasukuma. Baada ya Ndugai kung'olewa uspika Majaliwa hana ubavu tena zaidi ya kunyenyekea kwa mama. Si mnakumbuka ile kauli ya mama kule A town wakati anamchamba Ndugai? Alisema hivi....'Nilikua naskia sikikia huko bungeni kwa kina majaliwa....' Hii kauli hakulenga mtu mmoja bali kikundi kileee kilichokua kinajiandaa na 2025.
 
Ubunge alipewa na Jiwe.

Bashiru ndio alipewa na Rais Samia
 
District Commissioner
 
Kwangu mimi Polepole ni shujaa aliweka wazi msimamo wake na aliwataka wakipenda wachukue ubunge wao. Inaonekana wameamua kuchukua kiaina.
Na hili litadhihirika pale watakapomtumbua bila sababu ndani ya muda mfupi ujao.
Wameamua kutusahaulisha na kweli tunasahu maana wanajua ataonekana shujaa aliesimamia msimamo wake
 
[emoji1756][emoji1756]
 
Hili dongo nalikumbuka, maza ni noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…