Balozi Polepole: Wahuni ni Watu wa hovyo sana!

Balozi Polepole: Wahuni ni Watu wa hovyo sana!

"....msione nipo kimya ila nawafuatilia!"

"Yapo mambo nayaweka sawa yahusuyo fursa na jiandae kuzitumia."

"....#kataeni wahuni!"

Polepole.
Yeye mwenyew muhuni kama wahuni wengine!! Sintosahau alivyojaribu ku brainwash watanzania kuhusu issue ya ile 1.5trn!!
 
Balozi Polepole anesema Wahuni ni Watu wa hovyo sana

Polepole ambaye kwa sasa ni mwakilishi wa Rais Samia nchini Cuba alikuwa anahojiwa na East Africa Radio

Jumaa kareem!
Polepole ndio nani, umechoka mpaka unaokoteza vinyau vidogo kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom