Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mbona unaruka kimanga.jikite kwenye mada
Ulinganishi tosha kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaruka kimanga.jikite kwenye mada
Mzee aliutaman Ulahisi mpaka akawa lahisi now must kustaafu chchm chio watuView attachment 1479965
Mzee wangu kwa umri ulionao na kwa muda uliolitumikia Taifa , sasa inatosha , waachie wengine maana uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti .
Tunakushukuru kwa yote mzee na tunakutakia kila la heri .
Shida ya ukewenza, muda wote unamuwaza mke mdogo.Mbona Mbowe hapokezani kijiti na wenzie hapo Ufipa?!
Jimbini - JimboniKama ungekuwa mfuatiliaji mzuri was siasa na mropokaji , MTU wa mihemko au kukurupuka basic ungekwisha sikia ya kuwa Balozi Seif ameshatangaza zamani kama mwaka huu ya kuwa yeye siasa basi na ametangaza Jimbini kwake.
Okey. Kwahiyo issue tena hapa ni mtu siyo kupokezana vijiti wala umri. Kwasbbu ni Seif Idd basi siyo halali kwake kukaa madarakani muda mrefu, Ila freeman mbowe kwake ni halali hata akifia madarakani.Hoja ni Seif Idd
Kabla hujafa hujaumbika , usicheke ugonjwa wa mtuMbona kapinda mdomo?
Kwa lipi ?
Hajafuatwa na wazee kuombwa ?Kwani alisema anataka kugombea tena..? Balozi seif Ali iddy ametamka kwamba baada ya awamu ya dr shein kumaliza muda wake October 2020 hatagombea nafasi yeyote ya kisiasa
Sijacheka, nimeulizaKabla hujafa hujaumbika , usicheke ugonjwa wa mtu