Balozi wa Italia nchini Congo DRC auawa katika shambulizi

Tayari mabeberu wanaendelea kugawana nchi ya DR Congo, si ajabu katika miaka ijayo nchi hii itagawanyika kama ilivyokuwa Sudan kugawanyika Sudan Kusini n.k
Ndio anachotaka hata Lisu!

Vi Lisu kutoka Congo viko vingi sana pale Ubelgiji
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee,yani balozi kapotea kabisa kama masihara,waitaliano hawatochukulia hili jambo kiswahili naamini watamalizana tu kwa njia nyeupe na njia nyeusi....na tabia za weupe kwa mtu au watu masikini zilivyo mbaya ,hujamchokoza tayari kashakwapua sasa ukimfinya kama walivyofanya congo si ndo anakushushia mzigo kabisa kidhahiri na kisiri..
 
Huwa Najiuliza kuna tatizo gani angalau kuthibiti tu Uasi mashariki mwa Congo?? Inasemekana huko ndio kuna magenge mengi ya hatari na huku kukiwa na miundombinu dhaifu sana
 
Tshekedi ameshindwa kabisa kuthibiti hali ya mambo...hivi kwanini hawaulizi na kupata uzoefu nchi zingine?? Tanzania hapa kuna miaka Tembo walikua wanauwawa kama njiwa tu kila siku unasikia ohh meno ya tembo yakamatwa..tembo wauwawa leo hii viko wapi?? Hakuna hilo jambo tena.
 
Nafikiri ni dili liloenda vibaya. Hapo lazima kulikuwa na exchange za madini, fedha au hata silaha, someone double crossed balozi.
Kama alitambua hapaswi kutembea hiyo njia bila escort ya UN, kwanini alisafiri na watu WFP tu peke yake??
Beberu huko Congo, wanafanya uhalifu mkubwa!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
JKK miaka 18 aliweza?
Felix miaka 2 tu mnaona hafai ?

Kinachoendelea Congo RD ,Mungu akiepushe maana soon kinawaka jumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…