Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Hizi story za Kivu kuunganishwa na Rwanda zinaenda kua kweli mkuu?Hahahaha, ingia deep tena deep khs RD Congo hasa kipindi hiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi story za Kivu kuunganishwa na Rwanda zinaenda kua kweli mkuu?Hahahaha, ingia deep tena deep khs RD Congo hasa kipindi hiki
Mali kawaida ukiwa nayo na ukawa huna jicho la pili, huwa inageuka kuwa laana. Just imagine sisi tulipokuwa tumefikia especially kwenye kipindi cha ubinafsishaji.Shida ya Congo mali imegeuka laana.
Sidhani lkn kuna vugu vugu kubwa tu la chini kwa chini Ndani ya CongoHizi story za Kivu kuunganishwa na Rwanda zinaenda kua kweli mkuu?
Sawa mkuu.Sidhani lkn kuna vugu vugu kubwa tu la chini kwa chini Ndani ya Congo
Nani sasa watakuja kuwashushia balaa mpaka wapoteane, United Nations wataanza kutembeza kichapo?La haulaaaa, Congo wamejitafutia balaa salaaaaleeee!!! Huo mtungo watakaopigwa safari hii mpaka watapoteana, itakua ni amsha amsha!!!
Bora sisi tanzania admini aendelee kuwazodoa na kuwachamba na kuwatolea maneno mabeberu, ila asifikie hatua ya kumchania hata kifungo balozi yoyote wa mabeberu.
Watatandikwa na nani, United Nations ambao msafara wao umelipuliwa?Watatandikwa mpaka wasahau Kilingala. JWTZ waimarishe ulinzi mpakani.
jiwe angavu niko hapa now naicheki hii documentary ya blood in mobile kali kinoma ( Frank from Denmark alikoma mbona kwenda walikale bisie[emoji16][emoji16])Tafuteni Documentary inaitwa Blood in Mobile ndio utajua kwanini jimbo la kivu haliwezi kutulia.
#MaendeleoHayanaChama
My mentor huyu frank alishafika hapa dar akaendesha seminajiwe angavu niko hapa now naicheki hii documentary ya blood in mobile kali kinoma ( Frank from Denmark alikoma mbona kwenda walikale bisie[emoji16][emoji16])
Mkuu kama hutojali naomba unisaidie documentary zingine zenye mambo kama haya please[emoji120][emoji120]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wee usinambie?duuh yuko vizuri kwelikweliMy mentor huyu frank alishafika hapa dar akaendesha semina
Yes alikua pale ubalozi wa Denmark, mm nilihudhuria training yake ,Niko na Picha zake ni friend wangu sana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23]Nimecheka sana kuna haja gani ya kusema risasi za mbavu
Inaonekana kwenye mambo ya siasa ni mweupe sana!!hahaaa, haya sio mambo ya ushabiki wa mpira, kuwa leo lazima simba ashinde!!yana hitaji ufahamu kidogo.UKIMYA UNA FICHA MENGI!!eti lazima kinuke, !!mzozo wa DRC, unaufahamu ki undani kweli?Hilo ni deni mwana. Yaani lazima kinuke. Na hako kakikundi lazima wakafute kabisa. Ila ya Kondo yanasikitisha unashangaa kuona hata bongo kuna wakuda wanataka eti beberu ajiamulie, yaani lisu aje aifanye bongo kuwa congo.
Wameua na Carabinieri mmoja,,,tatizo la congo ni kubwa mno,,inafaa igawanywe mara tatu ili itawalike kwa urahisi...Aisee,yani balozi kapotea kabisa kama masihara,waitaliano hawatochukulia hili jambo kiswahili naamini watamalizana tu kwa njia nyeupe na njia nyeusi....na tabia za weupe kwa mtu au watu masikini zilivyo mbaya ,hujamchokoza tayari kashakwapua sasa ukimfinya kama walivyofanya congo si ndo anakushushia mzigo kabisa kidhahiri na kisiri..