Balozi wa Kenya Nchini Tanzania akabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi leo

Balozi wa Kenya Nchini Tanzania akabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi leo

Sasa kama mnafahamu hivyo mbona mnatumia nguvu nyingi kupambana naye, tuonaona kwenye video za Youtube mnamzuia asitumie kivuko, mara asitumie helkopta, mara mabomu ya polisi, mara mumzuie siku saba asifanye kampeni....yaani duh.
Halafu jamaa mwenyewe ni jasiri la kufa mtu, katia kambi Chato na kupokelewa na nyomi balaa....huyo atawasumbua sana kwa kweli.....mnalo
Imba taarabu zote. Ushindi wa kishindo ni Chama Cha Mapinduzi. Tulianza na wenyeviti s/mtaa. Madiwani wote, wabunge wote, na Raisi ni Kijani.
 
Imba taarabu zote. Ushindi wa kishindo ni Chama Cha Mapinduzi. Tulianza na wenyeviti s/mtaa. Madiwani wote, wabunge wote, na Raisi ni Kijani.
Sio kweli maana huko pemba kuna mbunge wa act kapita bila kupingwa
 
Ilo li barakoa alilo vaa utazan ungo wa dstv , alafu unajua iv vitu tuji chukulie sifa , hapo ana fanya spy kujua haya majaa directio yao ni ipi watakapo chukua madaraka ...ss adhabu yao ni kuya nyima kura ma fisi emu
 
Back
Top Bottom