Balozi wa Kenya Nchini Tanzania akabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi leo

Imba taarabu zote. Ushindi wa kishindo ni Chama Cha Mapinduzi. Tulianza na wenyeviti s/mtaa. Madiwani wote, wabunge wote, na Raisi ni Kijani.
 
Imba taarabu zote. Ushindi wa kishindo ni Chama Cha Mapinduzi. Tulianza na wenyeviti s/mtaa. Madiwani wote, wabunge wote, na Raisi ni Kijani.
Sio kweli maana huko pemba kuna mbunge wa act kapita bila kupingwa
 
Ilo li barakoa alilo vaa utazan ungo wa dstv , alafu unajua iv vitu tuji chukulie sifa , hapo ana fanya spy kujua haya majaa directio yao ni ipi watakapo chukua madaraka ...ss adhabu yao ni kuya nyima kura ma fisi emu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…