Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Unaongea ujinga tu sion point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wanajitambua Rais wao hana PhD fake wala mkuu wao wamkoa ajapata zero...labda tulichowazdi sisi tuna Mungu wa Africa anaitwa Mbowe
Kiongozi nikwambie kitu ukiona comments ya mtu ni rahisi kumtambua pengine hajiekewi au hajitambui maana huenda anacomnent asichokijua yaani amekurupuka au anatumia hisia ku comment kwa sababu ya uchama kumbe comments yake ni bora kuipita kwa sababu hajielewi sindio kiongozi?

Kwa mfano wewe mtu aliyecomment upupu wewe utampita au itakuwaje kiongozi? eti
 
Balozi wa Kenya hapo Tanzania mh Kazungu anaongea na waandishi wa habari muda huu

Kazungu anasema Kenya haiichukulii Tanzania kama jirani bali ni ndugu ndio maana Rais Uhuru alikuwa kiongozi wa kwanza kumtembelea Rais Magufuli kule Chato.

Kazungu anasema Rais Uhuru alipanga kushiriki sherehe za Muungano hapa Tanzania tarehe 26 April na kisha kufanya ziara ndefu ya kihistoria ambayo haijawahi kufanywa na kiongozi yoyote yule duniani lakini hii pandemic ya Corona imetibua.

Balozi anasema sisi kama ndugu tuendeleze ushirikiano wetu na kuchukua tahadhari dhidi ya Corona na kamwe tusiruhusu kirusi hiki kitufarakanishe.

Source Ayo tv!
 
“Rais Kenyatta amenituma hapa, anasema Kenya haiiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu, sisi sio maadui, adui yetu ni corona, ndio maana alikuwa Rais wa kwanza kuingia Chato kumsalimia JPM, akachukua dhahabu akasema mpelekeeni Magufuli” -Dany Kazungu, Balozi wa Kenya nchini Tanzania
• •
“Bila hii corona April 26 mwaka huu Kenyatta alipanga aje asherehekee na Watanzania Muungano, alipanga awe na ziara ya muda mrefu hapa TZ kuliko Rais yeyote, uamuzi ambao Kenya imechukua kuhusu safari za mipakani sio kwasababu ya Tanzania bali adui yetu ni kirusi”-Balozi Kazungu

“Hakuna Mkenya anayemuombea mabaya Mtanzania, Wakenya tunawaombea Watanzania mpigane na janga hili, na sisi pia mtuombee, tusianze kukorogwa na kirusi hiki, tusianze kugongana kisa corona, Watu watulie, Viongozi wetu watakutana na tutalimaliza” -Balozi Kazungu
#MillardAyoUPDATES

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What Kazungu said in two sentences.
1. Tanzanians has to be tested before they enter Kenya.
2. We are not opening any border.


 
LOL kasema katumwa na kenyatta sasa sijui katumwa kwa Shigela RC wa Tanga au nani? 😃😃

Mwambie Shigela anaishi Tanga
Mbona sijaskia hiyo. In the meantime, border remain closed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…