Kama wastani wa mkusanyo ya TRA kwa mwezi ni trillion mbii hiyo ni zaidi ya makusanyo ya miaka miwili..Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Are you insane,?😳So What?
So what ? You are told not to be a bagger.So What?
Hata nchi ikiwa tajiri vipi maskini lazima wawepo...omba omba wapo duniani kote, ni vile huna exposure tu...wale hawajaitwa super power kwa bahati mbaya, msijifananishe na uwezo wenu unaoishia kukmata chadema na kuiba chaguzi. Aaheni kuomba na kupokea misaada kama mnataka kauli zenu ziheshimikeMarekani kuna maskini hiyo ndio ukweli ....North korea hata maisha ya huyo ulaya hawajui so hawana mda wa kubabaishwa na mtu ...Tunaweza kuamua tukaishi tunavyotaka kama unataka wazungu kaombe uraia wa huko .
Bibi kiziwi alizinguaMimi nilijua hawatapata tafsiri iliyonyooka kwa sababu hotuba ilikuwa kwa kindengereko.
Waulize wanuufaika wa dawa bure za ARV waulize wenye kupata dawa bure za ukoma na TB siku ukijaaliwa kupata mtoto jiulize chanjo analipwa nani.kwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?
au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒
au ni kimbelembele tu na kutaka sifa za kijinga?🤣
unachozungumzia wewe ni kipi hasa gentleman?Waulize wanuufaika wa dawa bure za ARV waulize wenye kupata dawa bure za ukoma na TB siku ukijaaliwa kupata mtoto jiulize chanjo analipwa nani.
Jiulize nani anaidhinisha mikopo ya IMF na World Bank na nani anachangia African Development Bank inyotukopesha kujenga rel na barabara.
Ukipata majibu kimbia haraka ukafanye uchunguzi wa afya ya akili.
Wewe ndio hauna exposure kwa vile mshamba ...Nchi ina sheria zake maana hujasoma kasome Tanzania foreiign policy ...Raisi hana wasiwsi ni wewe Mnge kimambi maana unapata hifahdi huko USA.Hata nchi ikiwa tajiri vipi maskini lazima wawepo...omba omba wapo duniani kote, ni vile huna exposure tu...wale hawajaitwa super power kwa bahati mbaya, msijifananishe na uwezo wenu unaoishia kukmata chadema na kuiba chaguzi. Aaheni kuomba na kupokea misaada kama mnataka kauli zenu ziheshimike
Huna akili,jiwe ujinga umemuuaMbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
We si uwaambie wasitishe , uliona wapi Hadzabe wakipatiwa chanjo? ...Ishi ni profix maximaization kwa hiyo watufundishe juu ya nn cha kufanya ? Kwa hiyo mabalozi wetu watoe statement juu ya watu kupigwa bastola kila siku huko marekani itakuwa ndio kilichowapeleka ?Waulize wanuufaika wa dawa bure za ARV waulize wenye kupata dawa bure za ukoma na TB siku ukijaaliwa kupata mtoto jiulize chanjo analipwa nani.
Jiulize nani anaidhinisha mikopo ya IMF na World Bank na nani anachangia African Development Bank inyotukopesha kujenga rel na barabara.
Ukipata majibu kimbia haraka ukafanye uchunguzi wa afya ya akili.
Wewe hutokufa ?Huna akili,jiwe ujinga umemuua
Tangu lini nimekuwa hivyo?Wewe jamaa umegeuka kibaraka wa mabeberu.
Duh,sa mbona hatujui zimefanya nn hzo pesa?Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Bas Sawa we una weupe kwenye makalioWewe hutokufa ?
Trumpth kila siku anakoswa koswa na risasi ni mpinzani , umeona Tz ikitoa tamko kaaa kwa kutulia ...Wewe ni mweusi mpaka kweny makalio huwezi kuwa mzungu .
Acha ujinga basikwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?
au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒
au ni kimbelembele tu na kutaka sifa za kijinga?🤣
Huwez kuwa mzungu kma kula yako inategemea mzungu sawa ,waache ndugu zao wafe njaa wakupe wewe burev.Bas Sawa we una weupe kwenye makalio
Msaada wao siyo gate-pass ya kutuchezesha kama joyce wowowoHarafu kuna kenge wa CCM, anasema, hii nchi huru hatupangiwi! Pambafu!
Hongera America, bravo Mr Michael battle(balozi wa USA), na kwa wale vilaza wa CCM,
Huyo balozi, Mwanajeshi, mstaafu, ni pastor, na ni carrier diplomat,
Sio hawa, wa kwenu,kikubwa walichonacho, ni kadi za TANU, za, babu zao,na PHD za kuokota,
Mungu wabariki WazunguJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891