Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Kama wastani wa mkusanyo ya TRA kwa mwezi ni trillion mbii hiyo ni zaidi ya makusanyo ya miaka miwili..
Lucas Mwashambwa
 
Marekani kuna maskini hiyo ndio ukweli ....North korea hata maisha ya huyo ulaya hawajui so hawana mda wa kubabaishwa na mtu ...Tunaweza kuamua tukaishi tunavyotaka kama unataka wazungu kaombe uraia wa huko .
Hata nchi ikiwa tajiri vipi maskini lazima wawepo...omba omba wapo duniani kote, ni vile huna exposure tu...wale hawajaitwa super power kwa bahati mbaya, msijifananishe na uwezo wenu unaoishia kukmata chadema na kuiba chaguzi. Aaheni kuomba na kupokea misaada kama mnataka kauli zenu ziheshimike
 
kwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?

au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒

au ni kimbelembele tu na kutaka sifa za kijinga?🤣
Waulize wanuufaika wa dawa bure za ARV waulize wenye kupata dawa bure za ukoma na TB siku ukijaaliwa kupata mtoto jiulize chanjo analipwa nani.
Jiulize nani anaidhinisha mikopo ya IMF na World Bank na nani anachangia African Development Bank inyotukopesha kujenga rel na barabara.
Ukipata majibu kimbia haraka ukafanye uchunguzi wa afya ya akili.
 
Waulize wanuufaika wa dawa bure za ARV waulize wenye kupata dawa bure za ukoma na TB siku ukijaaliwa kupata mtoto jiulize chanjo analipwa nani.
Jiulize nani anaidhinisha mikopo ya IMF na World Bank na nani anachangia African Development Bank inyotukopesha kujenga rel na barabara.
Ukipata majibu kimbia haraka ukafanye uchunguzi wa afya ya akili.
unachozungumzia wewe ni kipi hasa gentleman?
Misaada,
Mikopo,
Chanjo,
TB,
ARVs
au barabara 🤣
 
Hata nchi ikiwa tajiri vipi maskini lazima wawepo...omba omba wapo duniani kote, ni vile huna exposure tu...wale hawajaitwa super power kwa bahati mbaya, msijifananishe na uwezo wenu unaoishia kukmata chadema na kuiba chaguzi. Aaheni kuomba na kupokea misaada kama mnataka kauli zenu ziheshimike
Wewe ndio hauna exposure kwa vile mshamba ...Nchi ina sheria zake maana hujasoma kasome Tanzania foreiign policy ...Raisi hana wasiwsi ni wewe Mnge kimambi maana unapata hifahdi huko USA.

Ulaya ndio anaihitaji TZ na africa kwa ujumla ili wanatawale ...Wangebaki kwao unafirikia kuna cha bure basi leta sahani upakuliwe.
 
Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .

Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Huna akili,jiwe ujinga umemuua
 
Waulize wanuufaika wa dawa bure za ARV waulize wenye kupata dawa bure za ukoma na TB siku ukijaaliwa kupata mtoto jiulize chanjo analipwa nani.
Jiulize nani anaidhinisha mikopo ya IMF na World Bank na nani anachangia African Development Bank inyotukopesha kujenga rel na barabara.
Ukipata majibu kimbia haraka ukafanye uchunguzi wa afya ya akili.
We si uwaambie wasitishe , uliona wapi Hadzabe wakipatiwa chanjo? ...Ishi ni profix maximaization kwa hiyo watufundishe juu ya nn cha kufanya ? Kwa hiyo mabalozi wetu watoe statement juu ya watu kupigwa bastola kila siku huko marekani itakuwa ndio kilichowapeleka ?


Ngoja kupandikizwa chip uwe kama robot .
 
Mmezidi sana, hata vyoo mnajengewa
Ombaomba ikiingia kwenye damu haya ndio madhara
Unakuwa dhalili tu
Na kuomba imekuwa kama jadi inaanza kwa wananchi inaenda mpaka juu
Tujifunze kujitegemea tumegoma
Tunataka kutafuniwa zaidi ya miaka 60
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Duh,sa mbona hatujui zimefanya nn hzo pesa?
 
kwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?

au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒

au ni kimbelembele tu na kutaka sifa za kijinga?🤣
Acha ujinga basi
 
Harafu kuna kenge wa CCM, anasema, hii nchi huru hatupangiwi! Pambafu!
Hongera America, bravo Mr Michael battle(balozi wa USA), na kwa wale vilaza wa CCM,
Huyo balozi, Mwanajeshi, mstaafu, ni pastor, na ni carrier diplomat,
Sio hawa, wa kwenu,kikubwa walichonacho, ni kadi za TANU, za, babu zao,na PHD za kuokota,
Msaada wao siyo gate-pass ya kutuchezesha kama joyce wowowo
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Mungu wabariki Wazungu
 
Back
Top Bottom