"tafsiri" if you mig!Nifahamishe kwanza "fafsiri" ni kitu gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"tafsiri" if you mig!Nifahamishe kwanza "fafsiri" ni kitu gani.
Pole sana mkuu, nadhani hukumaanisha ulichoandika.Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Chizi wewe jifunze kuandika bibieHuwez kuwa mzungu kma kula yako inategemea mzungu sawa ,waache ndugu zao wafe njaa wakupe wewe burev.
Fanya acha maneno ya kupumbaa.
Wajinga wakubwa nyie, maza nyenu kutugwa anazunguka Marekani kuomba misaada, huwa analazimishwa na mtu?Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Wasitishe acha kutisha watu .Pole sana mkuu, nadhani hukumaanisha ulichoandika.
Shoga nenda shule hamna unachojua , ndio maana unalala njaa si uwaombe wanaume zako wakupe pesa...Hamna cha bure .Chizi wewe jifunze kuandika bibie
Mjinga wa kwanza baba yako kwa kuzaa gay , kama unategemea pesa za msaada kaa pembeni siongei na mashoga.Wajinga wakubwa nyie, maza nyenu kutugwa anazunguka Marekani kuomba misaada, huwa analazimishwa na mtu?
Jibu zuri sana kwa yule roporopoJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Mkuu hao watu wako well informed kuhusu mambo yetu kuliko sisi Wandengereko wenyewe.Mimi nilijua hawatapata tafsiri iliyonyooka kwa sababu hotuba ilikuwa kwa kindengereko.
Nilipoisikia ile hotuba ya kindengereko nilicheka sana.Nikawa nakumbuka jinsi mtoa hotuba alivyowahi kusema kwamba kwa maumbile yake hawezi kuongea kwa kufokafoka asilani abadani.Ikawa kinyume kabisa.🤔Mkuu hao watu wako well informed kuhusu mambo yetu kuliko sisi Wandengereko wenyewe.
Ni $2.5 billion kwa mwakaTz inapata msaada zaidi ya $1 billion annually toka Marekani.
Wanachotupiga sasaJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 3100891
So wahat? Kama wanajipendekeza kuleta msaada tuuache? Wagumishe waone kama tutawafataJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Wahuni wamemjaza upepo alikuwa anatoa povu kama amesukutua omo vile.Nilipoisikia ile hotuba ya kindengereko nilicheka sana.Nikawa nakumbuka jinsi mtoa hotuba alivyowahi kusema kwamba kwa maumbile yake hawezi kuongea kwa kufokafoka asilani abadani.Ikawa kinyume kabisa.🤔
Tuongeze juhudi CCM iondoke mapema iwezekanavyo.Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891