Balozi wa Marekani Michael A. Battle: Kusema Tanzania haijafungamana, uhalisia haupo hivyo

Balozi wa Marekani Michael A. Battle: Kusema Tanzania haijafungamana, uhalisia haupo hivyo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607


Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Michael A. Battle akizungumza na Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown FM amesema hakuna Nchi Duniani ambayo inaweza kusimama yenyewe bila kuwa na ushirikiano wa Nchi nyingine.

Akiitaja Tanzania amesema dhana ya kuwa Tanzania ni Nchi isiyofungamana na upande wowote siyo ya kweli kiuhalisia bali Taifa hilo limefungamana na mataifa mengi.


Pia soma ~ Tanzania ijitoe katika Non Alignment Movement
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Ungetulia na kutumia akili yako kidogo usinge bwabwaja kama mtu anatoka usingizini!
 


Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Michael A. Battle akizungumza na Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown FM amesema hakuna Nchi Duniani ambayo inaweza kusimama yenyewe bila kuwa na ushirikiano wa Nchi nyingine.

Akiitaja Tanzania amesema dhana ya kuwa Tanzania ni Nchi isiyofungamana na upande wowote siyo ya kweli kiuhalisia bali Taifa hilo limefungamana na mataifa mengi.

Pia soma ~ Tanzania ijitoe katika Non Alignment Movement

Tangu zamani, utawala wa Tanzania umefungamana na tawala za nchini China, Urusi (USSR), Cuba, na Korea ya Kaskazini. Hii ni kuanzia tangu utawala wa awamu ya kwanza ya Mwl. Nyerere, hao ndio walikuwa marafiki zake.
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Hivi kakosea ni Balozi?Yeye ametoa maoni yenye ukweli asilimia 100 kwa hiyo na wewe tupe ukweli unaopingana na hoja yake ili tukuelewe.
 
Ungetumia akili kidogo aliyokujalia Mwenyezi Mungu ungeona aibu lakini ndiyo hivyo tena umekwisha kuwa chizi!

Ni nani aliyekudanganya una Akili wewe?
Aaaa, Ndio usha nnya tena.?

Chizi ni yule aliyekusukuma fuvu lako kutoka kwenye tundu.

Akili yako ndio haina akili.🔔🔔 we🤡
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Ana maanisha kauli kama hiyo haipo Duniani.
Hiyo kauli ni ngumu sana kuielewa.
Haiwezekani nchi ikawa kama malaya. Kila bwana atayekuja kumtongoza anakubali.
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Ni Ukweli mchungu kwamba utawala wa Marekani unatufahamu vizuri zaidi sisi wa-Tanzania kuliko hata sisi wenyewe tunavyojifahamu, kuna Ukweli kuhusu suala hili, wao Wana intelligence yao Kali zaidi kuliko sisi au kuliko tawala zingine nyingi zilizopo hapa duniani. Marekani wamekuwa wakipata taarifa zetu zinazotuhusu sisi mapema zaidi kuliko sisi wenyewe.
Mathalani, Wana mtandao wao maalumu wa kupeana taarifa nyeti kabisa kwa raia wao wanaoishi nje ya mipaka ya nchi ya Marekani, mtandao huo unaitwa Smart Travelor. Ukijisajili kwenye mtandao huo unaweza ukapata taarifa nyeti Sana na nzito ambazo pengine hata utawala uliopo kwenye nchi husika hawawezi kuzipata. Mfano ulio hai kuhusu suala hili niliupata nikiwa katika Moja ya nchi fulani hivi(ambayo nisingependa kuitaja jina kwa Sasa), ambapo raia wao mmoja walimtumia ujumbe kwenye simu yake ya mkononi kupitia kwenye mtandaa wao huo wakimtaarifu kuwa "Ajiandae kwa kuondoka haraka sana kutoka kwenye nchi hiyo, gari ya kumchukua kutoka katika Ofisi ndogo za Ubalozi wa nchi hiyo itawasili nyumbani kwake ndani masaa mawili yajayo, na awaandae wapendwa wake wote kabisa tayari kwa safari ya kuondoka ili kuokoa usalama wao."

Ajabu iliyotokea ni kwamba, Ndani ya maasaa 24 baada ya ujumbe huo, Serikali iliyokuwepo kwenye nchi hiyo ilipinduliwa na Wanajeshi, hali hiyo ilithibitisha kwamba utawala wa Marekani ilipata mapema zaidi kuhusu taarifa za kupinduliwa kwa Serikali iliyojuwepo kwenye nchi hiyo. Taarifa za kupinduliwa kwa Serikali ilianza kusambaa kwa umma kuanzia majira ya saa 10 usiku ambapo raia wote wa Marekani waliokuwepo kwenye nchi hiyo tayari walishaondolewa na Ubalozi wa nchi hiyo na kupelekwa katika nchi nyingine ya jirani
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Umeishia darasa la ngapi mwezentu
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
naionea huruma hiyo shingo yako kwa kubeba tenga tupu
 
Kimsingi unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mweupe katika maswala mbalimbali yahusuyo nchi, uendeshaji wa serikali na mahusiano ya kimataifa. Nji zote duniani zinaendeshwa katika muktadha wa uhusiano wa kimataifa nda ndio mana kuna diplomats au mabalozi wanaowakilisha nchi husika katika nchi nyingine. Hakuna taifa lolote duniani linalojiandesha in isolation (kujitenga)
Mara kadhaa umeona viongozi wako wakisaini hati na mikataba ya makubaliano baina ya nchi na nchi ili kuwa na mashirikiano katika nyanja mbali mbali iwe kiuchumi, ulinzi kama juzi mchina alivyotupa vifaa vya ulinzi, siasa na mambo mengine. Balozi anaposema kwamba sio kweli Tanzania haijafungamana huo ni ukweli mnaoambiwa wapiga zumatri ambao hamna elimu ya siasa bali ushabiki uliopitiliza
Wao ukikosoa tu ccm au viongozi basi kwao ni kosa la jinai.Asante sana kiongozi kwa ufafanuzi mzuri.
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Server za Jamiiforums zipo Marekani.

Sijui nimekupa mwanga kidogo kuhusu kutujua?
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Walamba viatu watampigia makofi hii nchi nijifinze kimarekani tuu nijiite mc frickon lugard nitaishi kama Peponi
 
Wao ukikosoa tu ccm au viongozi basi kwao ni kosa la jinai.Asante sana kiongozi kwa ufafanuzi mzuri.
Nimeandika sana kweye machapisho mengi sana nimeandika kwamba ogopa nchi ikiwa na wajinga wengi wanaweza kuchagua Rais. CCM inawapumbaza sana vijana kwa kuwanyima mafunzo halisi ya chama kwa maana ya katiba ya chama, ilani ya chama na kanuni za chama. Pili chama hakiwapi mafunzo juu ya katiba ya nchi na sera za idara mbali mbali za serikali pamoja na wizara. Sababu kuu ya kuwanyima hayo ni pamoja na kulinda nafasi zao za uongozi na kuwa na kundi kubwa la wajinga wanaosifia kila jambo linalozungumzwa na wanaouamini kuwa ni viongozi wao. Ndio maana mara kadhaa wajinga miongoni mwao wanatoa kauli zenye utata na kuwaweka njia panda wasifiaji ambao hawajui wasifie au wakemee au wakae kimya. Anapotokea kiongozi kuchukua mrengo mmojawapo na wao huenda huko kama nyumbu wanaoswagwa.

Hili la kumkemea mheshimiwa Balozi linatokana na ujinga wao wa kutokujua kwamba serikali yetu ina Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa kimataifa na kwenye chama kuna secreteriate ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa ambapo sekretari wake anazunguka na Nchimbi huko wakieneza propaganda.
Walikua wanashupaza shingo na kukaza mafuvu wakati wa Sakata la DP World hawajui kwamba hayo ni matokeo ya sera ya mambo ya nje na mafungamano ya kisera ikiwemo uchumi na uwekezaji.

shangaa wanamnyooshea Balozi kidole huku wanasahau vyandarua, condoms, arvs na contraceptives zinazowafanya wasifungwe jela kwa kuwapa mimba wanafunzi wakati wa mbio za mwenge usiku, zinatokana na mafungamano na makubaliaono ya kimkataba kati ya Tanzania na Marekani katika swala la Uchumi na afya.

Ni aibu kwamba Mwenyekiti wao alijazwa ujinga huo huo na wajinga kiasi ya kwamba akasimama majukwaani kuwananga watu anaoshitikiana nao na baada ya siku mbili wamakweka hadharani na serikali yake juu ya attemt murder ta TL, Wajanja kwenye chama na wenye elimu wana kazi ya kukaa kimya na kuwatuma wajinga waongeee,
 
Back
Top Bottom