Balozi wa Marekani Michael A. Battle: Kusema Tanzania haijafungamana, uhalisia haupo hivyo

Balozi wa Marekani Michael A. Battle: Kusema Tanzania haijafungamana, uhalisia haupo hivyo

Tanzania ni nchi huru halisi haiendeshwi kwa dhana, haichaguliwi rafiki wala haielekezwi nchi ya kushirikiana nayo full stop.

Tanzania ina malengo na mipango yake, Lakini pia inazo mbinu namna halisi ya kuyafikia malengo yake. Siyo dhana.

Balozi aachene na masuala ya dhana, ambayo ni sawa na ushirikina na ramli chonganishi tu, hayo ni mambo ya kijima 🐒
We ni Bumunda jipige kifuani. A wasted crap of lad
 


Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Michael A. Battle akizungumza na Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown FM amesema hakuna Nchi Duniani ambayo inaweza kusimama yenyewe bila kuwa na ushirikiano wa Nchi nyingine.

Akiitaja Tanzania amesema dhana ya kuwa Tanzania ni Nchi isiyofungamana na upande wowote siyo ya kweli kiuhalisia bali Taifa hilo limefungamana na mataifa mengi.

Pia soma ~ Tanzania ijitoe katika Non Alignment Movement

Kwa nchi kama Tanzania balozi wa marekani anakua ametumwa kazi moja tu. Kuhakikisha CCM inashindwa uchaguzi au vibaraka wake ndio wanaongoza ccminayobakia madarakani.
 
Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?

Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.

Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.

Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.

Na hawa waandishi wetu nao.
Acha kukurupuka, umesikiliza na kuelewa hoja yake?
 
Yaani nchi dira yake inategmea na mtawala wa wakati huo ni nchi mfu.

Akija mkristo mkatoliki ni kufungamana na wanaoitwa mabeberu.

Akija muislamu ni kufungamana na waarabu..

Hizi dini zikiendelea kushika hatamu hapa Tanzania hasa hasa Tanganyika yetu ya Mtikila, hakika hakuna maendeleo yoyote yatakayopatikana hasa yale ya maadui zetu wakati tunapata uhuru.
Sisi ni waarab kwa sasa
 
Kwa nchi kama Tanzania balozi wa marekani anakua ametumwa kazi moja tu. Kuhakikisha CCM inashindwa uchaguzi au vibaraka wake ndio wanaongoza ccminayobakia madarakani.
Kuna any valid leading clue ambayo inaweza kubainisha hayo, Ili mifumo iwe makini kuangalia hao Ccm na CCM vibaraka USA?

Kama platform hii ilivyo kubwa na inavyojinasibisha. ni vyema kuja na uchambuzi yakinifu unaobainisha hayo au viashiria vyake
 
Back
Top Bottom