ThePlagueDoctor
Member
- Mar 10, 2018
- 17
- 25
Kwakweli nimelia saana, tuungane kwa pamoja kumsikitikianaionea huruma hiyo shingo yako kwa kubeba tenga tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli nimelia saana, tuungane kwa pamoja kumsikitikianaionea huruma hiyo shingo yako kwa kubeba tenga tupu
Ndio nini sasa?Tumia akili na siyo masaburi!
Umekuja lini duniani?Ndio nini sasa?
We ni Bumunda jipige kifuani. A wasted crap of ladTanzania ni nchi huru halisi haiendeshwi kwa dhana, haichaguliwi rafiki wala haielekezwi nchi ya kushirikiana nayo full stop.
Tanzania ina malengo na mipango yake, Lakini pia inazo mbinu namna halisi ya kuyafikia malengo yake. Siyo dhana.
Balozi aachene na masuala ya dhana, ambayo ni sawa na ushirikina na ramli chonganishi tu, hayo ni mambo ya kijima 🐒
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Michael A. Battle akizungumza na Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown FM amesema hakuna Nchi Duniani ambayo inaweza kusimama yenyewe bila kuwa na ushirikiano wa Nchi nyingine.
Akiitaja Tanzania amesema dhana ya kuwa Tanzania ni Nchi isiyofungamana na upande wowote siyo ya kweli kiuhalisia bali Taifa hilo limefungamana na mataifa mengi.
Pia soma ~ Tanzania ijitoe katika Non Alignment Movement
Acha kukurupuka, umesikiliza na kuelewa hoja yake?Kwahiyo yeye Balozi ndie anayejua Tanzania, kuwashinda Watanzania?
Huu ujinga huwezi sikia nchi zingine. Balozi kuingilia siasa za ndani na hususani karibia na Uchaguzi.
Eti kwa sababu za Billioni za bure walizotoa.
Itoshe Kule kwao wanalalamikia Wachina, Wahaiti, na wengine kwamba wanaingilia Chaguzi zao na maisha yao. Malalamiko mengi kuhusu wengine wote Kasoro wao wenyewe.
Na hawa waandishi wetu nao.
Sisi ni waarab kwa sasa
Kuna any valid leading clue ambayo inaweza kubainisha hayo, Ili mifumo iwe makini kuangalia hao Ccm na CCM vibaraka USA?Kwa nchi kama Tanzania balozi wa marekani anakua ametumwa kazi moja tu. Kuhakikisha CCM inashindwa uchaguzi au vibaraka wake ndio wanaongoza ccminayobakia madarakani.