Balozi wa Marekani Michael A. Battle: Kusema Tanzania haijafungamana, uhalisia haupo hivyo

We ni Bumunda jipige kifuani. A wasted crap of lad
 
Kwa nchi kama Tanzania balozi wa marekani anakua ametumwa kazi moja tu. Kuhakikisha CCM inashindwa uchaguzi au vibaraka wake ndio wanaongoza ccminayobakia madarakani.
 
Acha kukurupuka, umesikiliza na kuelewa hoja yake?
 
Yaani nchi dira yake inategmea na mtawala wa wakati huo ni nchi mfu.

Akija mkristo mkatoliki ni kufungamana na wanaoitwa mabeberu.

Akija muislamu ni kufungamana na waarabu..

Hizi dini zikiendelea kushika hatamu hapa Tanzania hasa hasa Tanganyika yetu ya Mtikila, hakika hakuna maendeleo yoyote yatakayopatikana hasa yale ya maadui zetu wakati tunapata uhuru.
Sisi ni waarab kwa sasa
 
Kwa nchi kama Tanzania balozi wa marekani anakua ametumwa kazi moja tu. Kuhakikisha CCM inashindwa uchaguzi au vibaraka wake ndio wanaongoza ccminayobakia madarakani.
Kuna any valid leading clue ambayo inaweza kubainisha hayo, Ili mifumo iwe makini kuangalia hao Ccm na CCM vibaraka USA?

Kama platform hii ilivyo kubwa na inavyojinasibisha. ni vyema kuja na uchambuzi yakinifu unaobainisha hayo au viashiria vyake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…