johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
[emoji3][emoji3][emoji3]Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mh Michael amemsifu Shujaa Magufuli Kwa kutuachia Reli Bora Kabisa ya SGR duniani
Aidha Balozi Michael amemsifu Rais Samia Kwa manunuzi ya Treni zinazofanya Mtu awe na Raha kuanzia Mwanzo hadi Mwisho wa safari
Michael amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4 duniani alikosafiri Kwa Treni
Uchaguzi mkuu 2025 CCM tuna Kazi rahisi sana [emoji23][emoji23]
Punguzen chumbi jmn mweeeeh πππBalozi wa Marekani nchini Tanzania Mh Michael amemsifu Shujaa Magufuli Kwa kutuachia Reli Bora Kabisa ya SGR duniani
Aidha Balozi Michael amemsifu Rais Samia Kwa manunuzi ya Treni zinazofanya Mtu awe na Raha kuanzia Mwanzo hadi Mwisho wa safari
Michael amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4 duniani alikosafiri Kwa Treni
Uchaguzi mkuu 2025 CCM tuna Kazi rahisi sana ππ
Kamtaja Kabisa Shujaa Magufuli πHuyo balozi amesema SGR za Magufuli au za Tanzania? Au ni wewe tu Uchawa wako
Umeshaanza ule upuuzi wako wa kupindua maneno. Wapi amemtaja fascist Magufuli?Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mh Michael amemsifu Shujaa Magufuli Kwa kutuachia Reli Bora Kabisa ya SGR duniani
Aidha Balozi Michael amemsifu Rais Samia Kwa manunuzi ya Treni zinazofanya Mtu awe na Raha kuanzia Mwanzo hadi Mwisho wa safari
Michael amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4 duniani alikosafiri Kwa Treni
Uchaguzi mkuu 2025 CCM tuna Kazi rahisi sana ππ
Balozi karahisisha kampeniPunguzen chumbi jmn mweeeeh πππ
Kamtaja hapa Stesheni aliposhuka πππUmeshaanza ule upuuzi wako wa kupindua maneno. Wapi amemtaja fascist Magufuli?
Kama hajabubujikwa na machozi huyo atakuwa amepanda dudu jingine kabisa siyo sgrBalozi wa Marekani nchini Tanzania Mh Michael amemsifu Shujaa Magufuli Kwa kutuachia Reli Bora Kabisa ya SGR duniani
Aidha Balozi Michael amemsifu Rais Samia Kwa manunuzi ya Treni zinazofanya Mtu awe na Raha kuanzia Mwanzo hadi Mwisho wa safari
Michael amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4 duniani alikosafiri Kwa Treni
Uchaguzi mkuu 2025 CCM tuna Kazi rahisi sana ππ
Msimu wa sikukuu umeisha pombe za offer hakuna umerudia zile pombe zako za kishenzi kubwa zima kunywa visungura ni aibu.Kamtaja hapa Stesheni aliposhuka πππ
CCM mbele Kwa mbele πΉ
Mbeya Mjini Dr Tulia PhD πMsimu wa sikukuu umeisha pombe za offer hakuna umerudia zile pombe zako za kishenzi kubwa zima kunywa visungura ni aibu.
Pombe za mchana hizo.Mbeya Mjini Dr Tulia PhD π
Ubungo - Prof Kitila Mkumbo ameshapitaPombe za mchana hizo.
Kila ukibugia kisungura siyo unaita ndiyo.Ubungo - Prof Kitila Mkumbo ameshapita