Balozi wa Marekani Michael Battle amesema amesafiri kwa treni kwenye mabara 4 duniani lakini SGR ya Tanzania ni nzuri zaidi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Michael Battle amesafiri Kwa Treni ya SGR kutoka Dar hadi Dodoma na kupongeza Huduma nzuri alizopata akiwa Safarini ambazo hajawahi kuziona Katika Mabara 4 duniani alikosafiri Kwa Treni

Kupitia ukurasa wake binafsi wa X, Michael Battle ameandika:

"Train from Dar to Dodoma. I have taken trains on four continents and am proud to say that Tanzania provides an exceptional train experience. The train left the station precisely on time, the ride was comfortable and the hospitality and professionalism of the staff was superb."

 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Punguzen chumbi jmn mweeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeshaanza ule upuuzi wako wa kupindua maneno. Wapi amemtaja fascist Magufuli?
 
Kama hajabubujikwa na machozi huyo atakuwa amepanda dudu jingine kabisa siyo sgr
CC Lucas Mwashambwa
 
ndio mjue tulikuwa mbele ya muda, dunia haijawahi kuona 100% black country with 100% black people ndani ya fast electric train, ndo maana wakatuchezea rafu dadadeki, lkn tutaibuka tena kama phoenix inshaalah, spirit bado ipo …
 
Mxiuuuuu! Huyo balozi ni mnafiki. Anataka kusema SGR ya Tanzania inazidi zile za Ethiopia, Egypt, Spain, China, South Korea, Italia, UK, US na kwingineko?

Anatafuta kitalu cha wanyama huyu. Na kwa sifa hizi tayari kishapewa mbuga ya Serengeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…