kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mwisho wa siku itafamika tu!Huo msaada ni kwaajili ya Iran na Hezbollah wasiingilie hiyo show
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa siku itafamika tu!Huo msaada ni kwaajili ya Iran na Hezbollah wasiingilie hiyo show
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Nisaidie elimu haina mwisho bwashee!Kwani hao Hamas wamewekwa madarakani na nani?
Waizlaeri waliposhambuliwa?
Walaaniwe kabisa kwa kuwafungia huduma muhimu za kibinadamu!
Israel ni genge la wahuni kama walivyo america sasa mpaka leo hii wanasaidiwa silaha kwa kikundi cha maskani wanashindwa kuwaliza wanauwa wasio na hatia!
Kweli ndege sabini kwa wahuni tu wa maskani uwezo wa kijeshi israel unatia mashaka!
Wahuni humalizana kihuni!Kumbe Hamas ni wahuni. Sasa wahuni lazima wafutwe wote, Gaza iwe salama
Wahuni tu!Ndio maana wapalestina wametii wanaekea kusini. Ingekuwa wanaua raia wasingetoa onyo.
Hao israel maana ndio wamewakalia kimabavu palestina!Walaaniwe walioanzisha machafuko
Kawaombee alubadiri.. Acha kulaani Watu... issue Tuombeee Upendo Acheni ubaguziWalaaniwe kabisa kwa kuwafungia huduma muhimu za kibinadamu!
HahaaaaaWatanzania hawawezi kubariki Magaidi ya kidini aseme Waislamu
"Israel"; the mostly written and spoken word under and above the Sun! Dunia itapita; Makkah itapotea; Israel itadumu milele!Hapo ndipo tutakapouona unafiki wa ICC, sijui kama Israel itashtakiwa kwa uhalifu wa kivita? ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watu kwa nguvu katika makazi yao
Hapo ndipo tutakapouona unafiki wa ICC, sijui kama Israel itashtakiwa kwa uhalifu wa kivita? ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watu kwa nguvu katika makazi yao
Israel ni genge la wahuni kama walivyo america sasa mpaka leo hii wanasaidiwa silaha kwa kikundi cha maskani wanashindwa kuwaliza wanauwa wasio na hatia!
Sawa kwani hamas wamebisha!Hamas ni kikundi cha kigaidi kinachoua na kuteka raia,magaidi lazima yauwawe.
Kwa NN wasilaaniwe wale waliochukua ardhi za wenzao KIMABAVU??Kwanini asianzie kuwalaani walioanza kurusha mabomu ile jumamosi?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app