Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Ukifanya 'Jambo' likampendeza 'Mkuu' naye akafurahi na kukutunuku 'Cheo Kikubwa' kama fadhila ya yale uliyoyafanya... Basi sisi wapenzi watazamaji tutarajie kuendelea kuona mengi yakitushangaza mojawapo ni kama hili.

Cheo cha Ubalozi ni sawa na kusema 'Rais Ugenini'.
IMG-20220520-WA0155.jpg
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri... Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani
Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala..hasa viongozi hawa wa kisiasa.. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi.. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili....

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa ..!View attachment 2231544
Mkuu
Kuna kitu unapaswa kujiuliza hapo!!
Huyu ni mtu anaefurahia ushindi fulani na anashangilia uhusika wake kwenye huo ushindi!!
Nasikia jamaa ni mlokole
Ni kama anashangilia katiba mpya,na anajua jambo FULANI ambalo hata mama halijui KABISA!
TUSUBIRI
Namuona mlokole akipigiwa SALUTI!!
 
Naona ni vitu vya kawaida kuburudika baada ya majukumu kazi..... ingekuwa anafanya hayo mambo ofisini sawa....lakini nyumbani kwake sioni shida........

Ni kazi sana kuwa kiongozi Tanzania na pia ni rahisi sana kuwa kiongozi Tanzania......Haiihitaji maarifa makubwa bali ni namna tu unavyojua kucheza na akili za unaowatawala
 
Mkuu
Kuna kitu unapaswa kujiuliza hapo!!
Huyu ni mtu anaefurahia ushindi fulani na anashangilia uhusika wake kwenye huo ushindi!!
Nasikia jamaa ni mlokole
Ni kama anashangilia katiba mpya,na anajua jambo FULANI ambalo hata mama halijui KABISA!
TUSUBIRI
Namuona mlokole akipigiwa SALUTI!!
Kuna mdau hapo juu kamshauri aachane na ubalozi arudi kwenye uanaharakati wake.. Hapo hatutakuwa na cha kusema
 
Kwanza kujirekodi ni tabia za mademu, haijarishi ni balozi au bodaboda.

Huyo mwendo ameshaumaliza, kama umeshafika Brantyre hapana tofauti na Turiani Morogoro, mwache aendelee kuzurura mjini hiyo nafasi aliyopewa Malawi ni adhabu anaumia sana kisaikolojia kutoka kumiliki shule ya uongozi mpaka sasa yeye ndio mwanafunzi anafundishwa uongozi anasumbuliwa na sonona.
Kwanza kujirekodi ni tabia za mademu, haijarishi ni balozi au bodaboda.

Kuna kikundi kinamtetea kwa nguvu zote hapa.. [emoji23] ama kweli ndege wafanano huruka pamoja..
 
Kwa sisi tuliopata bahata ya kusoma clinical psychology jamaa anaenda kupata mental health ill kwa kujiona yeye ni mkubwa sana kwenye hii (grandiose dellusion)....kila anapotembea,kila anachokifanya anaona kama nchi yote imemtizama....mimi naona ambacho huyu mtu mama samia angekifanya ili akili imrudi amnyang'anya hata ubarozi...arudi kwenye kazi yake ya uanaharakati na akijichanganya akaisema serikali vibaya apewe kesi ya ugaidi au ya uhujumu uchumi....
Fuatilia maisha yake kwanza ndio utamuelewa. Huyo alikuwepo kabla ya samia na magufuli kuwa marais. Ni international figure.
 
Kuna mdau hapo juu kamshauri aachane na ubalozi arudi kwenye uanaharakati wake.. Hapo hatutakuwa na cha kusema
Mkuu
Kwani we huoni!!?
Hebu Angalia VIZURI unaona 2025 kuna uchaguzi!!?
Unaona kuwa hdi hapo 2025 mwenye kiti kikuu atakuwepo alipo!!!?we unaona!!?
Nenda kaangalie!!
Balozi anacheza mziki wa wenye hatma ya NCHI ambao hata mama anawaogopa ana info FULANI AMBAYO anajua future HAINA wahuni tena hapa NCHINI!!
Mshanar ningekuwa WEWE nadhani ningechungulia tena Hadi 2035!!!! TUSUBIRI
 
Back
Top Bottom