Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Sikujua Kama polepole ana wafuasi hivi, wengi wamepanic.
Hahaha hawajapanic kwa sababu kapostiwa ..la hasha wamempanikia muweka mada.. Wamepata pa kupunguzia fukuto za moyoni
 
Kuna

Kuna mambo mawili au matatu hapa, yaani kwenye hii video. Moja ni kuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa huyo si Balozi wetu Malawi, watu wanafanana. Pili kuna uwezekano mkubwa kuwa hiyo ni video ya zamaaaani sana labda wakati huo Balozi akiwa bado Chuo Kikuu na la tatu ni kuwa hiyo ni sayansi tu imetumika kufanya hayo!
Umeiweka vizuri sana thanks..
 
Kwani hapo ni siku ya kazi au muda wa kazi?
Nahisi kuna wengine wanafanya hivyo bila matangazo.
Kwa hiyo kelele zile za shule ya uongozi ni kutaka kupata nafasi ya kufanya hayo, jikoni ambapo ni hatari kucheza muziki?
Au hii ni kabla ya kwenda Malawi?
Ndani ya hii post majibu yatapatikana
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri... Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani
Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala..hasa viongozi hawa wa kisiasa.. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi.. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili....

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa ..!View attachment 2231544
Hivi haka kajamaa hakanaga mke?!! Nakumbuka Dodoma kalipostigi mara kadhaa kakiwa jikoni kabla hatujaonana ile clip ambayo tuliona KY-gely
 
Nambari one..! Makasiriko hayafai mtakufa siku si zenyu
FB_IMG_1652924773148.jpg
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri... Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani
Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala..hasa viongozi hawa wa kisiasa.. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi.. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili....

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa ..!View attachment 2231544
Huyu atumbuliwe mapema kabisaa 😂😂
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri... Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani
Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala..hasa viongozi hawa wa kisiasa.. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi.. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili....

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa ..!View attachment 2231544
we mzee bora uendelee na uganga wako tu sasa utaanza kupangia na watu kama amekuwa balozi asiende hata chooni maana hana hazi ya kunya akiwa balozi
 
we mzee bora uendelee na uganga wako tu sasa utaanza kupangia na watu kama amekuwa balozi asiende hata chooni maana hana hazi ya kunya akiwa balozi
Uganga nimeshastaafu labda unirafutie mishe zingine
 
Uganga nimeshastaafu labda unirafutie mishe zingine
ushaona mwanga anaacha kuroga ? hata hapa kwenye huu uzi unaonyesha ni kiasi gani ulivyo mchawi maana mchawi hana sababu ni roho mbaya tu inayomsumbuaga
 
Wewe imekuuma nini.
Jitu zima kufatilia wanaume wenzako ndiyo umbeya tu
 
CCM OUT, KATIBA MPYA IN.....!

Mbona huu upuuzi wote utabakia kuwa historia!
Mfano hapo katiba mpya itamzuia kucheza? Jaribuni kujikita kwenye mambo muhimu ya kitaifa sio kumjadili MTU akiwa kwake chumbani. Huo ni ushakunaku
 
Back
Top Bottom