Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Kukiwepo na katiba ya kueleweka, kamwe wajinga hamtapata nafasi ya kutawala wenye akili.
Ivi unadhani kuna mwenye akili hapa kuliko mwingine? Ila uhalisia ni kwamba video inamwonesha mh.polepole akiwa anafurahia maisha yake private nyumbani/chumbani kwake. Kuna uhusiano wowote hapo na comment ya katiba mpya? Unadhani wewe una akili kuliko polepole? Unamzidi nini so far?

Kuna muda hujui who or what is your enemy....you just decide to be aggressive in everything.

Unadhani katiba itamzuia polepole kuishi maisha yake?
 
Hapo ni sheria na kanuni ipi kaivunja? Maisha mafupi haya mnayachukulia serious sana...mwache bwamdogo bwana😀
Wewe una umri wa kumuita Polepole bwana mdogo?

Mwenzanko anaelekea kwenye retirement kama hujui.
 
Lecture wa online leadeship analuka kwanja ,kavaa na snika ya utopolo .

Nchi ngumu sana hii
 
Ivi unadhani kuna mwenye akili hapa kuliko mwingine? Ila uhalisia ni kwamba video inamwonesha mh.polepole akiwa anafurahia maisha yake private nyumbani/chumbani kwake. Kuna uhusiano wowote hapo na comment ya katiba mpya? Unadhani wewe una akili kuliko polepole? Unamzidi nini so far?

Kuna muda hujui who or what is your enemy....you just decide to be aggressive in everything.

Unadhani katiba itamzuia polepole kuishi maisha yake?
Acha kunifokea. Wengi mnapewa mamlaka makubwa huku wengi wenu mkiwa ni vilaza. Kisa tu mko ccm. Siku ya kufa hiki chama chenu, hakika hii nchi itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo.
 
Vijana wanch
Dah.[emoji23] labda nikwambie tu kwamba kila nafasi ya uongozi ina kanuni, masharti na vigezo vyake ..
Vijana wanaona kila kitu sawa tuu, siku hizi waziri ana kashifa ya nyumba ndogo tatu sawa tuu si kifanyio chake,,,, waziri anatukana matusi sawa tuu si mdomo wake... in short hata neno maadili hawajua maana yake.
 
Alipita chuo Cha Diplomacy kweli huyu?
Hajapita ndio maana bado anadhurura tu mjini, huwezi kuwa Balozi bila kuoita chuo cha diplomasia walau short course.

Aliyejifanya ana shule ya uongozi amejikuta ghafla yeye ndio anatakiwa aende darasani kufundishwa uongozi.

Kuna wakati huwa nawakubali sana ccm kwa style yao ya kudeal na wahuni kama Polepole na Ndugai.
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
anafanya mazoezi, au anataka wambadilishie nchi ya kuwakilisha? kupelekwa malawi si mchezo ujue.
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Polepole ana stress lkn ni vigumu kulijua hili. Haya yote anasaka furaha ya moyo.
 
Back
Top Bottom