Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi unadhani kuna mwenye akili hapa kuliko mwingine? Ila uhalisia ni kwamba video inamwonesha mh.polepole akiwa anafurahia maisha yake private nyumbani/chumbani kwake. Kuna uhusiano wowote hapo na comment ya katiba mpya? Unadhani wewe una akili kuliko polepole? Unamzidi nini so far?Kukiwepo na katiba ya kueleweka, kamwe wajinga hamtapata nafasi ya kutawala wenye akili.
Wewe una umri wa kumuita Polepole bwana mdogo?Hapo ni sheria na kanuni ipi kaivunja? Maisha mafupi haya mnayachukulia serious sana...mwache bwamdogo bwana😀
Ni bwana mdogo.Halafu sura ya mheshimiwa balozi huwa simwelewagi kma Ni kijana au mzee.
Hiyo clip inasema tumuite bwamdogo. Kataka mwenyewe.Wewe una umri wa kumuita Polepole bwana mdogo?
Mwenzanko anaelekea kwenye retirement kama hujui.
Hebu tupe taarifa zaidi kuhusu hii clip, 'IMEREKODIWA' LINI?Uganga nimeshastaafu labda unirafutie mishe zingine
Afanye hivyo kwa kweliAliombwa kufanya hivyo last month
SawaNi bwana mdogo.
Labda. Nchi huru hiiKumbe ndo maana haishi kujirekodi
Acha kunifokea. Wengi mnapewa mamlaka makubwa huku wengi wenu mkiwa ni vilaza. Kisa tu mko ccm. Siku ya kufa hiki chama chenu, hakika hii nchi itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo.Ivi unadhani kuna mwenye akili hapa kuliko mwingine? Ila uhalisia ni kwamba video inamwonesha mh.polepole akiwa anafurahia maisha yake private nyumbani/chumbani kwake. Kuna uhusiano wowote hapo na comment ya katiba mpya? Unadhani wewe una akili kuliko polepole? Unamzidi nini so far?
Kuna muda hujui who or what is your enemy....you just decide to be aggressive in everything.
Unadhani katiba itamzuia polepole kuishi maisha yake?
Vijana wanaona kila kitu sawa tuu, siku hizi waziri ana kashifa ya nyumba ndogo tatu sawa tuu si kifanyio chake,,,, waziri anatukana matusi sawa tuu si mdomo wake... in short hata neno maadili hawajua maana yake.Dah.[emoji23] labda nikwambie tu kwamba kila nafasi ya uongozi ina kanuni, masharti na vigezo vyake ..
Hajapita ndio maana bado anadhurura tu mjini, huwezi kuwa Balozi bila kuoita chuo cha diplomasia walau short course.Alipita chuo Cha Diplomacy kweli huyu?
anafanya mazoezi, au anataka wambadilishie nchi ya kuwakilisha? kupelekwa malawi si mchezo ujue.Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto
Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.
Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi
Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa
Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi
Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia
Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.
Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!
View attachment 2231544
Mwandiko wako tu unatosha kunieleza wewe ni wa rika gani, umri wa mtu unaweza kuupata kwenye maandishi tu.Hiyo clip inasema tumuite bwamdogo. Kataka mwenyewe.
Lakini pia umri wangu huujui.
Tusubiri afanye hivyo. Kwasasa mnamuonea wivu sijui kwa lipi 😃😃Ngoja siku atembee na kufuli pekeyake ndio tutajua nini maana ya uhuru
Polepole ana stress lkn ni vigumu kulijua hili. Haya yote anasaka furaha ya moyo.Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto
Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.
Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi
Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa
Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi
Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia
Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.
Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!
View attachment 2231544