Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Hajapita ndio maana bado anadhurura tu mjini, huwezi kuwa Balozi bila kuoita chuo cha diplomasia walau short course.

Aliyejifanya ana shule ya uongozi amejikuta ghafla yeye ndio anatakiwa aende darasani kufundishwa uongozi.

Kuna wakati huwa nawakubali sana ccm kwa style yao ya kudeal na wahuni kama Polepole na Ndugai.
Mi Nilijua tayari Yuko zake huko..arudi darasani tu
 
Hakuna smart wowote hapa!!!

Hata nyumbani mnawezakuwa hamkubaliani lakini mbele ya watoto na jamii mtaonesha umoja na ushirikiano... Kama mambo hayavumiliki tena basi mtatengana na utaweza kusema baadhi na sii yote yale yanayowatofautisha....

Kwa hali ya nchi ilivyo sasa na changamoto tunazopitia ILIPASWA WATUMISHI WETU KUUMIZA VICHWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO... na hata kama watakuwa na vitafrija makwao ni vema kuviweka private kwa sababu hiki anachokifanya kinatoa ujumbe kwa jamii...

Na ujumbe huu siyo mzuri

Kama ameiposti haujui ni kwa nini kafanya hivyo, labda kuwaonyesha wasiompenda kwamba he is still happy against all odds, haujui anachopitia na wanachomfanyia, usisahahu huyo alikuwa karibu sana na Magufuli na ni muumini wa sera za Magufuli siyo muumini tu alishiriki pia kuzitekeleza hivyo unafikiri wasiompenda Magu ambao wameshika uraisi wa nchi watampenda ?

Ninachotaka kusema ni labda kuna ujumbe aliotaka kuufikisha na kuna mlengwa pia, sasa ni ujumbe gani mimi siwezi kujua lkn walengwa watakuwa wameupata na ndio maana wameleta hapa kujadili na sasa hivi ndani ya lisaa tayari kuna page karibia 10, jiulize kwa nini ?
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Take it easy boss...hamna kosa hapo, Kila jambo lina muda wake acha na yeye afurahie maisha bhana.
 
Kama ameiposti haujui ni kwa nini kafanya hivyo, labda kuwaonyesha wasiompenda kwamba he is still happy against all odds, haujui anachopitia na wanachomfanyia, usisahahu huyo alikuwa karibu sana na Magufuli na ni muumini wa sera za Magufuli siyo muumini tu alishiriki pia kuzitekeleza hivyo unafikiri wasiompenda Magu ambao wameshika uraisi wa nchi watampenda ?

Ninachotaka kusema ni labda kuna ujumbe aliotaka kuufikisha na kuna mlengwa pia, sasa ni ujumbe gani mimi siwezi kujua lkn walengwa watakuwa wameupata na ndio maana wameleta hapa kujadili!
Kutokana na hilo ndiyo nasema hakuna kitu....

Wewe ni mwakilishi wa NCHI na bado unashikilia kijitu, ni magumu mangapi wananchi wanapitia wewe kukua unajirekodi???

Sawa unapingana na WALIOMPA HIYO POST lakini Je hawa wanaovuja jasho ili YEYE alipwe mshahara na ALLOWANCES zingine anatufanyia haki?


Huo mshahara anaolipwa na KODI za watu, Je anawafanyia sawa???? Kwakweli BINAFSI NAMUONA ANAJIVUA NGUO!!!!!
 
Kama ameiposti haujui ni kwa nini kafanya hivyo, labda kuwaonyesha wasiompenda kwamba he is still happy against all odds, haujui anachopitia na wanachomfanyia, usisahahu huyo alikuwa karibu sana na Magufuli na ni muumini wa sera za Magufuli siyo muumini tu alishiriki pia kuzitekeleza hivyo unafikiri wasiompenda Magu ambao wameshika uraisi wa nchi watampenda ?

Ninachotaka kusema ni labda kuna ujumbe aliotaka kuufikisha na kuna mlengwa pia, sasa ni ujumbe gani mimi siwezi kujua lkn walengwa watakuwa wameupata na ndio maana wameleta hapa kujadili na sasa hivi ndani ya lisaa tayari kuna page karibia 10, jiulize kwa nini ?
Kwa sababu hapendwi. Fullstop.
 
Kutokana na hilo ndiyo nasema hakuna kitu....

Wewe ni mwakilishi wa NCHI na bado unashikilia kijitu, ni magumu mangapi wananchi wanapitia wewe kukua unajirekodi???

Sawa unapingana na WALIOMPA HIYO POST lakini Je hawa wanaovuja jasho ili YEYE alipwe mshahara na ALLOWANCES zingine anatufanyia haki?


Huo mshahara anaolipwa na KODI za watu, Je anawafanyia sawa???? Kwakweli BINAFSI NAMUONA ANAJIVUA NGUO!!!!!
Sasa kama wao wenye miela wasipopenda sanaa ya muziki je, wasanii si watafutika kwenye sayari? Ukumbuke anacheza muziki ambao hajaughani yeye.
 
Take it easy boss...hamna kosa hapo, Kila jambo lina muda wake acha na yeye afurahie maisha bhana.
Cheers ndio maana kumbe tukawa pia na loyo la tua[emoji322][emoji322][emoji322]
 
Kutokana na hilo ndiyo nasema hakuna kitu....

Wewe ni mwakilishi wa NCHI na bado unashikilia kijitu, ni magumu mangapi wananchi wanapitia wewe kukua unajirekodi???

Sawa unapingana na WALIOMPA HIYO POST lakini Je hawa wanaovuja jasho ili YEYE alipwe mshahara na ALLOWANCES zingine anatufanyia haki?


Huo mshahara anaolipwa na KODI za watu, Je anawafanyia sawa???? Kwakweli BINAFSI NAMUONA ANAJIVUA NGUO!!!!!
Hata yeye ana maisha yake nje ya ubalozi, let him live.

Usigeuze hizo nafasi za uteuzi zionekane ni kamba za kuwazuia watu kuishi watakavyo.
 
mzee wa shule ya nanilii baada ya kupigwa spana na kupokwa ubunge na kupewa ubalozi wa nchi kama wilaya sasa anakula raha kwa kujiliwaza msimshangae anajiondolea stress wala sio ishu muacheni
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544

Enzi za mwalimu palikuwa na mitandao ya kijamii? Ebu acha chuki za kijinga mtu mzima hovyoo
 
Zimetoka nguchiro sasa ni zamu ya chawa.. Yote heri.makasiriko fc[emoji374][emoji19]
 
Ukiwa balozi uruhusiwi hata kuburudika?
KILA mtu ana starehe yake bro..
Na kujirekodi na kurusha mitandaoni.. Well and good ..hivi ni hafla ngapi za kibalozi tumeshawahi kuziona mitandaoni..Basi sawa inaelekea huu ni wivu na husuda tu..but time will tell
 
Kwa sisi tuliopata bahata ya kusoma clinical psychology jamaa anaenda kupata mental health ill kwa kujiona yeye ni mkubwa sana kwenye hii (grandiose dellusion) kila anapotembea, kila anachokifanya anaona kama nchi yote imemtizama.

Mimi naona ambacho huyu mtu mama samia angekifanya ili akili imrudi amnyang'anya hata ubarozi arudi kwenye kazi yake ya uanaharakati na akijichanganya akaisema serikali vibaya apewe kesi ya ugaidi au ya uhujumu uchumi.
Heheheheh watu mnaroho ya Ajabu...
Mtu apotezwe mtaan kisa madaraka
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Hapa nakuunga mkono! This is disgusting indeed! The boy should be punished immediately
 
Back
Top Bottom