Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Tatizo neno UPINZANI lisha waharibu watu, kila kitu wanataka kuleta upinzani,ila unaweza ukakuta mpinzani akifanya hivyo hivyo wataona sawa kusifia.

Hamna kitu cha ajabu kwani naye ana maisha yake mengine nje ya ungozi wake.
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Eboo kwaio balozi haruhusiwi kucheza?
 
Mkuu
Babu naona tamthiliya za yoga zimekukaa kichwani na unaziona kama vitu real, bado miaka 3 tusibiri tuone maza is there until 2030, tz sio marekani tz hakuna deep state, deep state ya tz ni jumuiya ya uvccm, sasa hapo kuna cha maana kama tiss imejaza makada watupu.

Mkuu
Jpm kanifunza kitu kuwa Rais pekee sio top wa KILA kitu!
Hao unaowaitabTiss ni vibaraka wa maelekezo St Peters pale !!
Na Taasisi ile sio st.peters ni Taasisi inayojitegemea kama YENYEWE!!!
Wale St Peters Wana kibri cha kulinda maslahi ya WATU Wazito na sio the state!!!?state ipo Loyal KWA Taifa!!!st peters ndio inyowapa kibri hao uvccm na mafisadi wakubwa wale wenye chama wakidhani Wana backing ya the state kumbe sio!!!
Nenda Kasome comments za Tumia akili kwenye uzi wake wa "operation Imesitishwa the state wamesema apewe Muda!!!
Pale Jamaa kaweka wazi kabisa!!!
NINA WASIWASI NA KILE KIKOHOZI CHA MAMA ANAPOHUTUBIA!!!!!
WASIWASI NDIO AKILI!!!!!
YA MUNGU MENGI KWANINI UTABIRI UHAI WA MTU HADI 2030!!?
KWANI JIWE ULIAMINI ITAKUWA VILE!!!?
HATA MIMI NAMPENDA JAPO NINA MASHAKA NA KILA KITU!!!!
 
Ni kweli lakini anatakiwa sasa vitu personal asiviweke public, ndiyo kosa analofanya. Watu tunazihitaji hizi nafasi na tunapomuona anafanya huu utoto tunajua hayuko serious na kazi. Next time naweza nikawa prompted kuiomba kazi yake; yaani kuziambia mamlaka za uteuzi kuwa possibly mimi ninafaa zaidi katika nafasi hiyo kuliko yeye

Kwa sababu anacheza.? Kwan hawa watu huwa mnaona ni maroboti au.?
 
Personal life mnaanza kuingilia, cha msingi kazi anafanya
Kama hujui kitu ni bora ukaa kimya!!kuna vyeo fulani ukivifikia serikalini hata sehemu ya kunywa pombe, watu wa kukaa nao unashauriwa kabisa, na maafisa usalama wa wilaya/mkoa, kwani wao ndio wanaokuchunguza mienendo yako hata kama ni nje ya majukumu ya kikazi.ILa kama hujafikia kiwango hicho au kukaa na mtu aliyefikiia huko huwezi kuyajua hayo kamwe.
 
Personal life mnaanza kuingilia, cha msingi kazi anafanya
Once kairusha mitandaoni, it is no longer “personal life”

Ni sawa na mashoga. Kama wanagongwa miti silently vyumbani mwao, let them “enjoy”. As long wanaibuka mitandaoni kutangaza huo upupu, mkono wa sheria utadeal nao

Anachofanya Polepole hakiakisi haiba ya uongozi.
 
Back
Top Bottom