Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Vijana wanch

Vijana wanaona kila kitu sawa tuu, siku hizi waziri ana kashifa ya nyumba ndogo tatu sawa tuu si kifanyio chake,,,, waziri anatukana matusi sawa tuu si mdomo wake... in short hata neno maadili hawajua maana yake.
Taifa linapitia wakati mgumu sana
 
anasaka wamfurushe ili arudi zake bongo aendeleze siasa za sukuma gang. icho kitu anatafuta mno. kipindi kile alikuwa tayari hata ubunge akose ili awe huru. na mke wake ni mzungu, mkimzingua huyu anakimbilia ulaya anaenda kuwa chawa kama mange na kigogo24.
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Hizo ni Yebo za Mayele au?
 
Mkuu
Kwani we huoni!!?
Hebu Angalia VIZURI unaona 2025 kuna uchaguzi!!?
Unaona kuwa hdi hapo 2025 mwenye kiti kikuu atakuwepo alipo!!!?we unaona!!?
Nenda kaangalie!!
Balozi anacheza mziki wa wenye hatma ya NCHI ambao hata mama anawaogopa ana info FULANI AMBAYO anajua future HAINA wahuni tena hapa NCHINI!!
Mshanar ningekuwa WEWE nadhani ningechungulia tena Hadi 2035!!!! TUSUBIRI
Babu naona tamthiliya za yoga zimekukaa kichwani na unaziona kama vitu real, bado miaka 3 tusibiri tuone maza is there until 2030, tz sio marekani tz hakuna deep state, deep state ya tz ni jumuiya ya uvccm, sasa hapo kuna cha maana kama tiss imejaza makada watupu.
 
Kwa sisi tuliopata bahata ya kusoma clinical psychology jamaa anaenda kupata mental health ill kwa kujiona yeye ni mkubwa sana kwenye hii (grandiose dellusion) kila anapotembea, kila anachokifanya anaona kama nchi yote imemtizama.

Mimi naona ambacho huyu mtu mama samia angekifanya ili akili imrudi amnyang'anya hata ubarozi arudi kwenye kazi yake ya uanaharakati na akijichanganya akaisema serikali vibaya apewe kesi ya ugaidi au ya uhujumu uchumi.
Mkuu,
Sasa huo si udikteta ule ule tulioulalamikia kwa Magufuli (kutumbua watu, kupewa kesi za ughaidi na uhujumu uchumi) kumbe bado mazingira yetu yanahitaji hayo hata leo? Afrika itapataje kupona namna hii? Back and forth, back and forth!?
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Subiri siku yake ya kufa, utasikia sifa ambazo hujawahi kuzisikia ikiwemo ile kwamba pengo lake (likiwemo la mambo kama hayo) halitazibika!
 
Duu, kwahiyo balozi sio binadamu, hana feelings za furaha na asionyeshe kufurahi kwake, chillax dude
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Anasherehekea kupata habari za kijasusi kwamba chama kipya tayari kiko kwenye pipeline na yeye ana sehemu kwenye safu ya urasimu/bureaucracy ya chama!
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Huko Malawi alipo wamelalamika?

Kama kawaida yenu team visasi.

Tunajua hamkuufurahia uteuzi wa PolePole.

Mlipenda akae pembeni ili aongeze list yenu mnayoiombea mabaya usiku na mchana.

Lakini Mungu hakuwa upande wenu kama inavyoelekea kwa sasa!
 
"Tunataka katiba ibadilishwe jamani, hii katiba haifai kabisa".
Watu wanacheza hovyo tu na kuleta utoto, hatukubali...!
 
Kwa sisi tuliopata bahata ya kusoma clinical psychology jamaa anaenda kupata mental health ill kwa kujiona yeye ni mkubwa sana kwenye hii (grandiose dellusion) kila anapotembea, kila anachokifanya anaona kama nchi yote imemtizama.

Mimi naona ambacho huyu mtu mama samia angekifanya ili akili imrudi amnyang'anya hata ubarozi arudi kwenye kazi yake ya uanaharakati na akijichanganya akaisema serikali vibaya apewe kesi ya ugaidi au ya uhujumu uchumi.
Amka ukaihangaikie familia yako kama unayo!
 
Nijuavyo mimi Polepole is a very smart guy kwa kuwa tu haujamuelewa haimaanishi hivyo unavyodhania!
Hakuna smart wowote hapa!!!

Hata nyumbani mnawezakuwa hamkubaliani lakini mbele ya watoto na jamii mtaonesha umoja na ushirikiano... Kama mambo hayavumiliki tena basi mtatengana na utaweza kusema baadhi na sii yote yale yanayowatofautisha....

Kwa hali ya nchi ilivyo sasa na changamoto tunazopitia ILIPASWA WATUMISHI WETU KUUMIZA VICHWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO... na hata kama watakuwa na vitafrija makwao ni vema kuviweka private kwa sababu hiki anachokifanya kinatoa ujumbe kwa jamii...

Na ujumbe huu siyo mzuri
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Kila binadamu kuna wakati analazimika automatically bila kutaka au bila kujijuwa; kutekeleza chagizo za INSTINCT za uumbaji wake bila kujali sifa zake zisizo za uumbaji kama elimu, cheo, umaarufu nk.

References:
1. Bill Clinton alijuwa fika kuwa Monica Lewinsky ni intern tu pale Ikulu lakini ali.......

2. Mandela aliendeleza wivu na fitina (kwa usaliti wa Winnie Mandela akiwa jela) kwa kumuoa Graca Machel wakati Winnie akingali hai na hata licha ya Desmond Tutu kufanikiwa kuwapatanisha. Mandela huyo huyo aliyeshindwa kumsamehe Winnie (hata baada ya upatanisho) akaenda kumuombea Bill Clinton msamaha kwa sakata la Monica Lewinsky. UNAFIKI wa Mandela huu kama binadamu, siyo kama rais/cheo.

3. Emmanuel Macron ameoa mke anayemzidi umri kwa mbali, aliye na watoto wenye umri mkubwa pia kuliko Emmanuel Macron. Hivyo Emmanuel Macron ni mtoto kwa mkewe na mtoto kwa wanae wa kufikia. He is the last born in his own family age-wise!

4. Baadhi ya anayoyafanya Diamond hayaendani na nafasi yake katika jamii ila kama binadamu hawezi kuyakwepa maana yako kwenye uumbaji wake.

NB.
Cheo, elimu, umaarufu na INSTINCT hazihusiani kwa sababu moja iko kwenye uumbaji na nyingine ni optional (they happen by chance not design).

Nadhani naweza kum-describe Humphrey namna hiyo.
 
Back
Top Bottom