Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

ushaona mwanga anaacha kuroga ? hata hapa kwenye huu uzi unaonyesha ni kiasi gani ulivyo mchawi maana mchawi hana sababu ni roho mbaya tu inayomsumbuaga
Aah kumbe nilikuwa silijui hili .. Sasa sijui nikusaidieje? Tiba au kinga?
 
shida watu kama Mshana Jr wamelishwa akili za ki chadema na mbowe yaani wamezoea kudanganywa hapo unasema katiba mpya itamzuia mtu ku enjoy maisha kisa ni balozi? au mnatafsiri vipi ku enjoy maisha?
 
shida watu kama Mshana Jr wamelishwa akili za ki chadema na mbowe yaani wamezoea kudanganywa hapo unasema katiba mpya itamzuia mtu ku enjoy maisha kisa ni balozi? au mnatafsiri vipi ku enjoy maisha?
Hivi kwanini katiba mpya mnaiogopa kiasi hiki?
 
Hivi kwanini katiba mpya mnaiogopa kiasi hiki?
hatuoni ambapo pana wasumbua ninyi na mkiambiwa mnataka kubadirisha wapi penye manufaa ya mojakwa moja kwa mwana nchi wa kawaida mna sema tume huru ya uchaguzi hivi mna akili au matope?
 
Halafu sura ya mheshimiwa balozi huwa simwelewagi kma Ni kijana au mzee.
 
Back
Top Bottom