Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Hii ndio unaona ni tatizo na ukaijengea na mada kabisa. Nikajua jamaa kaharibu kwenye protocal za kibalozi kumbe ni maisha ya mtu binafsi. Leta zile mada za kuruka na ungo ndio nzuri
giphy.gif
 
Mnyika kaanzisha hii Mada to protect Mbowe‘ s ass, hawataki ajadiliwe, Mbowe is a fraud through and through!
 
Bora Bora umempa hii. Yaani watoto Wanauchukukia ubalozi kama kama mjumbe wa nyumba kumi. Huyu angekuwannchi nyingine.. Receiving state ingekuwa na mashaka naye na kisheria wanaruhusiwa kumrudisha kwao.

Hiyo ninsawa tu kwenda kinyume na itifaki. Balozi huyo siku atakutwa mitaa ya Bulawayo usiku anazengea Malaya.

Tambaza(00s) na Azania wapi na wapi.

Kwa waliosomea Masuala ya kimataifa watanielewa. Huyo anaonekana kichwani Kuna msumari wenye kutu. Lakn pia ubalozi kupewa wanachama wa ccm watukutu is not fair hiyo inasomewa. Kuna mabalozi huwez kumsimamisha hicho kituko na resp. Ambassadors
 
Ni wakati gani faragha ya mtu ikaingiliwa na ikaonekana kawaida na mhusika akaonekana mkosaji, Royal Tour Rais Samia kaonekana kwenye pozi za jau tupo kimya. Kwenye hili Polepole aheshimiwe uhuru wake. Infringement ya privacy yake si sawa na haivumiliki.
 
Ni wakati gani faragha ya mtu ikaingiliwa na ikaonekana kawaida na mhusika akaonekana mkosaji, Royal Tour Rais Samia kaonekana kwenye pozi za jau tupo kimya. Kwenye hili Polepole aheshimiwe uhuru wake. Infringement ya privacy yake si sawa na haivumiliki.
Once posted on social networks its no longer private.. And remember this post about the ambassador position and not a normal citizen by his name
 
Ni wakati gani faragha ya mtu ikaingiliwa na ikaonekana kawaida na mhusika akaonekana mkosaji, Royal Tour Rais Samia kaonekana kwenye pozi za jau tupo kimya. Kwenye hili Polepole aheshimiwe uhuru wake. Infringement ya privacy yake si sawa na haivumiliki.
Royal tour unafananishaje na Mtu anayecheza kigodoro? Na angekuwa na makalio.....ookkkh That idiot kama wangekuwepo wanawake he would have raised his ass, akicheza kigodoro. Hawa watu wakikuwaga wapi. Alikuja makonda. Huyu naye alikuwaga enzi za Katina. Omg
 
yuko very smart, ukiona wanahangaika kumnyamazisha asisikike kwa wananchi ujue huyo mtu ana akili kubwa sana hasa katika kukaa na wananchi wake. Hapo anacheza na saikolojia ya wabaya wake, ukianza kumjaji ujue umeshaingia kwenye kumi na nane zake hahaha
 
Once posted on social networks its no longer private.. And remember this post about the ambassador position and not a normal citizen by his name
Yes uko sashihi kbsa mamlaka ya uteuzi iwape mipaka miiko na maadili hasa visa mafunzo kuhusu matumizi ya digital platforms, susceptibility and vulnerability on cameras capture for every move of theirs. Napata shaka tu kama ni tukio la nyumbani je fursa usawa na haki ya viongozi kuserebuka iko wapi na je ukiwa kiongozi ukacheza mziki kwa steps sahihi bila kuudhi jamii kwa miondoko ya huo mziki inakuaje? Je tatizo ni kuonekana yeye pekeee yake, Je kukosekana kwa maudhui jumuishi katka kucheza kwake ndio tatizo? There should be a balance and a clear line on leadership engagement with the public.
 
Royal tour unafananishaje na Mtu anayecheza kigodoro? Na angekuwa na makalio.....ookkkh That idiot kama wangekuwepo wanawake he would have raised his ass, akicheza kigodoro. Hawa watu wakikuwaga wapi. Alikuja makonda. Huyu naye alikuwaga enzi za Katina. Omg
Tuache wivu wa faragha khaa yelewi...
 
Kuna wakati unalazimisha kuonesha jamii kuwa unafuraha, lakini mwili unakukatalia kabisa kuwa hicho unachomaanisha mimi sina...
 
Hayo ni personal style za maisha yake hayana uhusiano na cheo chake.
Mwandishi bado hujapona kutafuta mchawi ...endelea kutafuta maana polepole naye atakuacha unatafuta.

Utajisikiaje siku ukimwona Rais anakij recod anakata mauno au itakulazimu ufurah sabab ni personal life style yake hivyo haikuhusu kuna baadhi ya vyeo ukifikia huna uhuru tena na maisha yako , mim kama raia naweza toka na nikapiga picha na mchepuko wowote nikaweka mtandaoni na isiwe ishu lakini jiulize mkuu wa wilaya ataweza hata kupiga picha na cret la bia akatupia mtandaoni
 
Wale watu wa privacy njooni mkuje muone na hii
JamiiForums293710815.jpg
 
Kwa sisi tuliopata bahata ya kusoma clinical psychology jamaa anaenda kupata mental health ill kwa kujiona yeye ni mkubwa sana kwenye hii (grandiose dellusion) kila anapotembea, kila anachokifanya anaona kama nchi yote imemtizama.

Mimi naona ambacho huyu mtu mama samia angekifanya ili akili imrudi amnyang'anya hata ubarozi arudi kwenye kazi yake ya uanaharakati na akijichanganya akaisema serikali vibaya apewe kesi ya ugaidi au ya uhujumu uchumi.
Kisha wamfunge🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom