Nakumbuka sana hio na ndio maana CCM mna kauli mbiu yenu isemayo baada ya Mungu ni Mzungu.Kwani hukumbuki wakati Mr Mzungu aliposhindwa uchaguzi & maandamano kubuma akaamua atimkie kwa Bob Amsterdam & mabeberu wengine???
Chanzo cha huu uzushi wako ni kipi??? Hujataja mbona.Nakumbuka sana hio na ndio maana CCM mna kauli mbiu yenu isemayo baada ya Mungu ni Mzungu.
Chanzo ni huyo hapo chini.Chanzo cha huu uzushi wako ni kipi??? Hujataja mbona.
Anadhani McAllister ni katibu mwenezi wa Chadema. Acha akutane nae akajichore.🤣 KWA HIYO David Mc Allister ni mzushi?
Anaenda kuaibika tu kwa sababu Kuna hoja nyingi tu zisizojibikaKatika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Bado mnataka misaada ya mabeberu?Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Umeharibu uzi wako hapo ulipohusisha EU na Ufipa! Yaan bado mnahangaika na watu waliokataliwa na wananchi? Miafrika sijui nani katuloga jamani! Kha!!Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Kuna mzungu mkweli?[emoji1787] KWA HIYO David Mc Allister ni mzushi?
Yaani bado tunalialia kupata Pesa kwa mabeberu mpaka leo?Athari za korona unazijua wewe??? By the way, bado hao jamaa zenu wanatoka huko ughaibuni kuja kugombea Tanzania, hivyo hizo Euro zao kiduchu zimetumika kupambana na mafua yao ya Korona .
Nimetumia bando langu kusikiliza mjadala wote ule.Ulikuwa mjadala wa kamati yao na kwa bahati tumepata muda wa kuusilikiliza.Siioni cha kwenda kujibu,kama ni uongo basi umeanzia katika wawakiishi wao na kuna Bwana mmoja alikuwa akirudia "our people at the ground".EU ina office hapa na 2018 tulifukuza mwakilishi wao,kwa hiyo tumekuwa katika mvutano nao ingawa kichinihini kwa miaka miwili.Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Hii mijitu ya CCM bure kabisa........Anadhani McAllister ni katibu mwenezi wa Chadema. Acha akutane nae akajichore.
Mkuu lakini Sirro amekiri watu kuuawa hasa Zanzibar kwenue uchaguzi sasa sijajua tafsiri hasa ya neno 'amani na salama'Uko na mdomo wa bure na kijismatifoni cha kuazima, sasa una uhuru wa kubwabwaja lolote. Au ndo Mr Mzungu & Bob Amsteedam aliwaleta kuvuruga uchaguzi???
Mbona ni kawaida kwa MWIZI yeyote.. hata akikutwa na manyoya, minofu na kichwa, mwizi huendelea kubisha kuwa hakuiba.Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Kama ni uongo anakutana naye ili wafanyenini?Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.
View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Hiyo ni moja wapo tuu. Hoja kuu ni wizi wa kura, uchaguzi kutokuwa huru na haki, mauaji, nkHujaelewa hoja za huyu jamaa. Yeye anauliza matumizi ya fedha za korona. Jibu ni kwamba zilitumika kupambana na korona. Chenji iliyobaki ni elfu 20, atapewa.
Balozi ndiyo wajibu wake wa kidiplomasia msimfundishe kazi wacha aonane na Mwenyekiti. Katika uzi wangu uliopita humu nilieleza umuhimu wa kipindi hiki kufanya kazi yao kiweledi kupangua hoja na tuhuma zinazochafua nchi yetu.Mahojiano yalifanyika "live" kila mtu akaona, nawashangaa sijui mnahangaika nini, wametaka maelezo kwanini mlikula pesa za Corona wakati mlisema haipo Tanzania, wakasema nchi yetu imekuwa "regime state" and basing on the results of our past general election, hili nalo ni kweli, mlilazimisha ushindi.
Kuomba kikao na huyo jamaa hakutafuta ukweli huo hapo juu, msituone watoto eti kwasababu mtakaa nae meza moja ndio mtamaliza hilo tatizo, nachojifunza kutokana na haya mahangaiko yenu kumbe hamjiamini, mnajitutumua tu "taifa huru" kuwadanganya wasiojielewa.
Anyway, mmeambiwa mtapangiwa tarehe ya kumuona, na siku huyo balozi akienda mwambieni asitetemeke ndio atazidi kuharibu.
Viongozi wa dini,ccm. Vyombo vya habari, ccm. watumishi wa umma, ccm. Wasanii, ccm. wanafiki wote pamoja na maprof wa jalalani, ccm. wajingawajinga wote, ccm. Nk, nk.Hii mijitu ya CCM bure kabisa........
Hivi wanadhani watawadanganya hao "mabeberu" wa Ulaya kama wanavyotudanganya sisi?
Nyinyi CCM mnajua wazi kuwa hapa nchini kila kitu mmebana, kuanzia Tume ya uchaguzi CCM, Polisi CCM, Wasimamizi wa Uchaguzi CCM, Mahakama CCM!
Hivi unadhani katika mfumo huo unaobana kiasi hicho, wapinzani watakatizia wapi hapo?