Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji kukutana na M/kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU kutoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji

Athari za korona unazijua wewe??? By the way, bado hao jamaa zenu wanatoka huko ughaibuni kuja kugombea Tanzania, hivyo hizo Euro zao kiduchu zimetumika kupambana na mafua yao ya Korona .
VIPI pre form one ....ushaanza?
 
Wewe ndiye kilaza, yaani umeshindwa kujua hata Bunge la Umoja wa Ulaya liko nchi gani? Nadhani hii forum ya great thinkers limekuzidi. Jaribu Facebook
 
Mnahangaika sana mkuu,

Uchaguzi umeisha hadi 2025. Piganeni na tume huru msiseme hatukuwambia. Maana hata 2015 mlipolalamika kuibiwa kura tuliwaambia hangaikeni na tume huru nyie mkaishia kujadili kingereza cha Magu.
 
Athari za korona unazijua wewe??? By the way, bado hao jamaa zenu wanatoka huko ughaibuni kuja kugombea Tanzania, hivyo hizo Euro zao kiduchu zimetumika kupambana na mafua yao ya Korona .
Ingizo jipya kwenye timu ya Majuha.
Huwe kukuza kiwango cha mchezaji kwa kumbadilishia viatu tu.
 
It is either potential violation of protocol or sheer lie. The EU Parliamentary Foreign Affairs Comm. Chair does not pair protocol with Ambassador to EU.
 

EU ina ofisi & uwakilishi Tz. Kama serikali inaona kuna upotoshaji kwa nini isiitake EU kupitia ofisi yake Dsm itoe ufafanuzi wa huo upotoshaji?
 
Hujaelewa hoja za huyu jamaa. Yeye anauliza matumizi ya fedha za korona. Jibu ni kwamba zilitumika kupambana na korona. Chenji iliyobaki ni elfu 20, atapewa.
Si mungu amewabariki hakuna Corona pesa mnachukua za nn kiongozi mkuu wa Tanzania ni mwehu fulani hivi
 
Ingizo jipya kwenye timu ya Majuha.
Huwe kukuza kiwango cha mchezaji kwa kumbadilishia viatu tu.
Marudio ya "maingizo" kwenye kundi la majahili.
Huwezi kushusha kiwango cha mchezaji bora kwa kumchafulia vazi.
 
Si mungu amewabariki hakuna Corona pesa mnachukua za nn kiongozi mkuu wa Tanzania ni mwehu fulani hivi
Wewe ndiye mwehu usiyefahamu kwamba lilikuwepo janga la korona Tanzania. Kama hata huwezi kutunza kumbukumbu ya jambo la wazi na la hivi karibuni kama hilo, utakumbuka nini basi???
 
EU ina ofisi & uwakilishi Tz. Kama serikali inaona kuna upotoshaji kwa nini isiitake EU kupitia ofisi yake Dsm itoe ufafanuzi wa huo upotoshaji?
Unamuuliza nini??? Hata wewe unaweza kwenda ukapata ufafanuzi kama unahitaji.
 
Wanafikiri hao EU ni wajinga na hawjui ni nini kilichofanyika kwenye uchaguzi?
 
Mwambie huyo balozi wako anahangaika bure , video nzima ya bunge la umoja wa ulaya tumeiona , kwa hiyo ataenda kuibadilisha , mapimbi wa Lumumba ndio wataamini huo utopolo wenu , yaani kamati ya Mambo ya nnje ya EU waache kazi zao kuelekea vikao rasmi vya bunge la umoja wa ulaya na ratiba ipo wapoteze myda na kibaraka wa mhutu .
 
Wewe ndiye mwehu usiyefahamu kwamba lilikuwepo janga la korona Tanzania. Kama hata huwezi kutunza kumbukumbu ya jambo la wazi na la hivi karibuni kama hilo, utakumbuka nini basi???
Mwehu kama huyo niliyemtaja hapo mwanzo yy c anasema Corona iliisha kwa maombi? Pesa anapokea za nini? Tena toka kwa anaowaita MABEBERU? Jinga sana hili zee
 
Huyo bwana si alisema hakujajadiliwa chochote? sasa anaenda kufafanua kitu gani?

Kweli upumbavu ni kipaji [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…