Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Luteni Jenerali Yacoub Mohamed

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Luteni Jenerali Yacoub Mohamed

Mkuu Selikavu , kwa jeshi letu, kwa vile bado hatuna field Marshall, Generali ndio cheo cha mwisho, hivyo mtu kuwa jenerali ni lazima uwe kwanza Luteni Generali ndio upandishwe kuwa Generali kamili na ngazi hiyo hushikwa na mtu mmoja tuu, CDF.
P
Field Marshall sio cheo mkuu iyo ni heshima ukishinda Vita nyingi

Embu nitajie Duniani ao ma field Marshall unaowajua

Hiyo ni heshima ya kushinda Vita nyingi Kama kiongozi wa platoon
 
Back
Top Bottom