Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeehh weee nae ndio umeweka na picha kabisaView attachment 2254934rank ya General
Kweli kabisa,Mbona Mwamnyange naye muonekano ulimtupa lkn alikuwa CDF bora tu?
with vivid example uhesabu hizo nyota sasa😂Eeeehh weee nae ndio umeweka na picha kabisa
Mbona sioni 4 stars hapo naona 3 tu4 stars General.
P
[emoji23][emoji23][emoji23] sikuelewa hapo kwenye nyota kumbe ndio 4 stars za Pascal Mayalla alizokuwa ananiambia[emoji23][emoji23]with vivid example uhesabu hizo nyota sasa[emoji23]
Kumbe haha slaa alikuwa kachero!!!!!!Brother tambua asilimia kubwa mabalozi waliowengi ni makachero kote duniani na werevu na diplomasia ,huyo sio tu ulalame anasifa zake gwanda sio ishu
Uamuzi ni wa Mkuu wa Nchi halazimishwi kufuata ushauri wa mshauri yeyote ! Yeye hupelekewa majina ya wale ambao wamekidhi vigezo tu ! Lakini uchaguzi ni wake !! (Commander in Chief of the armed forces ) !!!Luteni Jenerali MATHEW LUKINGULE ndie atakayekuwa CDF mpya,kwanza bado kijana sana kaingia Jeshini mwaka 1995 hivyo damu bado inachemka,huyu Lt.Jenerali Yacob anastaafu mwisho wa mwaka huu
Mkuu huyu wa sasa unajua umri wake. Ukinijibu hilo utajua dhahiri kuwa umri sio kigezo.Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Wakati wa Mwinyi CDF alitoka wapi? Na wakati wa Mkapa je? Seuze JK??[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]Mkuu JokaKuu, duh...!. Baada ya Mwamunyange kufikia retirement age, Blaza akamgomea kwa hoja ya hakuna replacement muafaka, hivyo akaongezwa muda ili grooming ifanywe, the usual grooming ni kwa young juniors into seniors, kama umri uliishasonga vile?!, that means, inawezekana zile tuhuma za nepotism ni kweli na labda kuna kaji nepotism kadogo hapo kali play a role!. That being the case, hakuna ubaya na tukapata CDF kutoka upande wa pili, Mama has the right to have someone she can be very comfortable with. Enzi za Mwalimu, hawa jamaa walitoka Mara, CinC alipotoka Usukumani, CDF akawa Msukuma!, hivyo sasa maadam CinC ni kutoka Zanzibar, hakuna ubaya wowote tukawa na CDF kutoka Zanzibar as long as ana sifa stahiki na anakidhi vigezo vyote!.
P
Hivyo ni vya zamani mkuuMbona sioni 4 stars hapo naona 3 tuView attachment 2255070
Usilolijua nikama.........Mabeyo alivyoongoza JWTZ kama CDF ni tofauti alivyoongoza akiwa CoS. Alikuwa ni Mtu wa mabavu na nguvu nyingi hata nami sikutegemea kama atakuwa CDF kabisa ni jambo la busara uzee ulimfunza alipoteuliwa kuwa CDF akaongoza kwa busara hadi leo amestaafu . Heko Mabeyo, ustaafu mwema[emoji122]
Totally wrong. Msiongee mambo ya hovyo hovyo kwa kuwa tu mna uhuru huo. Haya mambo yanahitaji fact ndugu.Kuna kosa katika kuripoti umri wa Mabeyo, hakuzaliwa 1956 kwa vile kustaafu jeshini siyo jambo la hiari; huwa anaweza kuongezewa mwaka mmoja au miwili lakini siyo extension ya miaka mingi hivyo. Inawezekana alizaliwa 1965 au 1966 lakini ikaandikwa kuwa 1956.
Hapa ndo betting inapokuwa ngumu. Ov/Un[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umesema CDF awe below 54! Nikasema mbona Mabeyo kapata u CDF above 54??
Kondoa ni Kisiwa kumbe?Maza anamjengea CV usijeshangaa, ngoja uone na kama ana asili ya visiwani basi "imeisha hiyoo" alisikika Kidagaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wako wawili...mmoja yupo jeshini ambaye ndo chief of staff na mwingine ni balozi nchini uturuki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zaidi ya wawili; nadhani mwingine ni Mkuu wa Chuo cha Monduli, na mwingine anaongoza kamandi mojawapo ya jeshi.Labda useme ma meja general
Ila Luten General huwa ni 1 tu ambaye Mara nyingi anakuwa Katibu mkuu wa jeshi (COS)
Bahati now wapo wawili maana aliyepita alihamishiwa uturuki ambaye ndiyo huyo yakub na wa sasa ni mwengine ambaye ni COS
Hizo ni insignia za zamaniMbona sioni 4 stars hapo naona 3 tuView attachment 2255070
Mwamunyange ana muonekano wa CDF kuliko wote niliowashuhudia kwa umri wangu
uwe unasoma ukiwa na akili timamu kama hujaelewa unarudia tena kusomaKondoa ni Kisiwa kumbe?