Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.

Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)

Soma Pia:
Screenshot_2024-08-16-15-00-45-1.png
Mungu wabariki Wazungu
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji

View attachment 3071731

Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)

Mungu wabariki Wazungu
Wanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji

View attachment 3071731

Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)

Mungu wabariki Wazungu
jamaa ametoka ICU jana, au ni leo tu kwaajili ya mazungumzo na balozi? 🐒

I hope hana maumivu makali tena na anaweza kuendelea na shughuli zake 🐒
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji

View attachment 3071731

Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)

Mungu wabariki Wazungu
Sugu awe makini na Hawa mabasha wa kizungu
 
Sawa.....

Leo hajaonekana shemeji mke wa komredi Sugu akijifumbata mikono yake mbele ya ugeni huu mzito wa mh.Balozi wa Ufaransa kama ALIVYOJIFUMBATA mbele ya ugeni mzito kwelikweli wa mh.balozi wa marafiki zetu Marekani looh hata kuonekana pia ?!!

Anaudogosha ujumbe wa wafaransa kwa sababu hawana "green cards"?!!! [emoji1787][emoji1787]

#Peace & Love[emoji2956]
#Tanzania is a sovereign Nation[emoji2956]
 
Sawa.....

Hajaonekana shemeji mke wa komredi Sugu akijifumbata mikono yake mbele ya ugeni huu mzito wa mh.Balozi wa Ufaransa kama ALIVYOJIFUMBATA mbele ya mh.balozi wa marafiki zetu Marekani looh hata kuonekana pia ?!!

Anaudogosha ujumbe wa wafaransa kwa sababu hawana "green cards"?!!! [emoji1787][emoji1787]

#Peace & Love[emoji2956]
Unalia nini?
 
Back
Top Bottom