The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
kwahiyo nanyie kwa u K wenu mumeenda kujikomba kwa wafaransa dunia nzima inawakimbia nyie mmepata bwana, shenzi zenu
ccm act hawajasomba watu na macosta kwenda unguja na pemba, na watu walikuwa tele, nyie mkaona mtoe soo kwa kukodi macosta yakafanye hamasa huku mzee baba akirandaranda na chopa kama anafukuza tembo serengetiKongamano la vijana wa Chadema lilikuwa la Kimataifa, halikuwa kongamano la ngoma za kiasili za kinyakyusa linalofadhiliwa na fisadi Tulia
Ccm mmejaa wajinga ndio maana huku Kanda ya ziwa tutawafurusha chaguz zote na hamtaamin, viongoz wenu waliwahadaa wananchi kuwa upinzan unachelewesha maendeleo, Leo kila Kijiji, kata, Jimbo na urais viongoz ni ccm halafu upuuz mtupu.
Mpeni taarifa mamayenu huko ccm kuwa akipata hata vijiji 100 aende kizmkaz kutambika.
Mimi nilikuwa nadhani ni wa Temeke 😀😀😂Ninazo hela za kutosha na akili za kutosha. Ila Ubwege wa Sugu umefanya Mbeya tudhalilishwe sana na CHADEMA.
Nikukumbushe tu kati ya mwaka 2010 na 2020 wakati CHADEMA ilikuwa na viti vingi bungeni huku ikiwa na Mbeya ikiwa na wabunge wa kuchaguliwa wawili (Silinde & Sugu), lakini ilipokuja kwenye mgawo wa viti maalum Mbeya haikufikiriwa. Walijaza wachaga watupu ambao ni hawara na dada zao kama Chritina Lissu, Owenya, Suzan Lyimo, Grace, Kiwelu, Joyce Mukya etc.
Wewe unaniona sina akili lakini ambaye hana akili ni Sugu anayekubali maandamano yaletwe Mbeya kuvuruga uchumi na utulivu huku akijenga sintofahamu ya wana Mbeya dhidi ya Serikali.
Wewe Erythrocyte Mnyakyusa wa Kyela unatumika vibaya, sijui wanakulipa ngapi kwa kazi unayofanya JF
Pia ni Mkazi wa Tandika MwembeyangaMimi nilikuwa nadhani ni wa Temeke 😀😀😂
Kondoo la Waarabu ni lipi?wamagharibi washalipata kondoo la kuliburuza watakavyo.
Kama mnabisha muulizeni Ibrahim Traore.
Unafikiri mashoga watafata kondoo lipi zaidi ya liberali mwenzao?Kondoo la Waarabu ni lipi?
Endelea kutukana ili ukapewe bikira 72Unafikiri mashoga watafata kondoo lipi zaidi ya liberali mwenzao?
Kama unabisha kamuulize Faiza.
Matusi yako wapi hapo? Kwani wewe siyo mliberali?Endelea kutukana ili ukapewe bikira 72
Polisi wa Tanzania wakitumwa na ccm hata ufanyeje watakuua tu, Leo Muulize Muliro sababu ya kuzuia maandamano ya Chadema na Muulize ni lini wale viongozi wa Chadema waliokamatwa watafikishwa Mahakamani hatokujibuUkiangalia kwa makini, Sugu alionyesha ujeuri kwa polisi, zawadi yake ni kipigo. Polisi ukiwasikiliza(wale wenye busara za kipolisi) na kufuata unachoambiwa amani ipo. Ukileta ubishi ujue unabishana na serikali. Alithubutu kusema "mtanifanya nini?"
Huna hoja yaani!Matusi yako wapi hapo? Kwani wewe siyo mliberali?
WEWE huwezi kuelewa.Wewe ni tarishi wa mliberali. Na upo kwenye process ya kuolewa kabisa.Huna hoja yaani!
Matusi na Uchawi ndio nguzo ya MasikiniWEWE huwezi kuelewa.Wewe ni tarishi wa mliberali. Na upo kwenye process ya kuolewa kabisa.
It is a matter of time.Unajulikana kwa hiyo sio tatizo kubwa.Matusi na Uchawi ndio nguzo ya Masikini
Mmmmh ! 😳!Aiseeee