Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

kwahiyo nanyie kwa u K wenu mumeenda kujikomba kwa wafaransa dunia nzima inawakimbia nyie mmepata bwana, shenzi zenu

Nimekuambia huna akili, huna ulijualo wewe

Toka kwenye ujinga. Toka kwenye comfort zone. Fight for your country Tanganyika..;!
 
Kongamano la vijana wa Chadema lilikuwa la Kimataifa, halikuwa kongamano la ngoma za kiasili za kinyakyusa linalofadhiliwa na fisadi Tulia
ccm act hawajasomba watu na macosta kwenda unguja na pemba, na watu walikuwa tele, nyie mkaona mtoe soo kwa kukodi macosta yakafanye hamasa huku mzee baba akirandaranda na chopa kama anafukuza tembo serengeti
 
Ccm mmejaa wajinga ndio maana huku Kanda ya ziwa tutawafurusha chaguz zote na hamtaamin, viongoz wenu waliwahadaa wananchi kuwa upinzan unachelewesha maendeleo, Leo kila Kijiji, kata, Jimbo na urais viongoz ni ccm halafu upuuz mtupu.
Mpeni taarifa mamayenu huko ccm kuwa akipata hata vijiji 100 aende kizmkaz kutambika.

Anzeni na mkimbizi Biseseko Kumpiga chini ubunge. Ameuza ardhi yote yenye Madini mpaka katikati ya mbuga za Wanyama .

Biseseko ni kati ya Wageni waliojilimbikizia latrilioni ya pesa kupitia rasilimali za Watanganyika. Akazawadiwa unaibu Kaka mkuu ili kumkata makali Kaka Mkuu mzalendo wa kweli .

Kama mnabisha basi Biseseko akose uwaziri na Ubunge kama hatarudi Rwanda kuwekeza. Yupo Tanzania kwa sababu ya kuchuma pesa tu na sio kuipenda Tanganyika. Pesa alizonazo atawahonga sana wapiga kura na hata kununua wagombea .
 
Ninazo hela za kutosha na akili za kutosha. Ila Ubwege wa Sugu umefanya Mbeya tudhalilishwe sana na CHADEMA.

Nikukumbushe tu kati ya mwaka 2010 na 2020 wakati CHADEMA ilikuwa na viti vingi bungeni huku ikiwa na Mbeya ikiwa na wabunge wa kuchaguliwa wawili (Silinde & Sugu), lakini ilipokuja kwenye mgawo wa viti maalum Mbeya haikufikiriwa. Walijaza wachaga watupu ambao ni hawara na dada zao kama Chritina Lissu, Owenya, Suzan Lyimo, Grace, Kiwelu, Joyce Mukya etc.

Wewe unaniona sina akili lakini ambaye hana akili ni Sugu anayekubali maandamano yaletwe Mbeya kuvuruga uchumi na utulivu huku akijenga sintofahamu ya wana Mbeya dhidi ya Serikali.

Wewe Erythrocyte Mnyakyusa wa Kyela unatumika vibaya, sijui wanakulipa ngapi kwa kazi unayofanya JF
Mimi nilikuwa nadhani ni wa Temeke 😀😀😂
 
Ukiangalia kwa makini, Sugu alionyesha ujeuri kwa polisi, zawadi yake ni kipigo. Polisi ukiwasikiliza(wale wenye busara za kipolisi) na kufuata unachoambiwa amani ipo. Ukileta ubishi ujue unabishana na serikali. Alithubutu kusema "mtanifanya nini?"
 
Ukiangalia kwa makini, Sugu alionyesha ujeuri kwa polisi, zawadi yake ni kipigo. Polisi ukiwasikiliza(wale wenye busara za kipolisi) na kufuata unachoambiwa amani ipo. Ukileta ubishi ujue unabishana na serikali. Alithubutu kusema "mtanifanya nini?"
Polisi wa Tanzania wakitumwa na ccm hata ufanyeje watakuua tu, Leo Muulize Muliro sababu ya kuzuia maandamano ya Chadema na Muulize ni lini wale viongozi wa Chadema waliokamatwa watafikishwa Mahakamani hatokujibu
 
Back
Top Bottom