Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Vyovyote vile...Hao mwenyeji wao alikuwa CAF wala si Tifuatifua au Simba. Ule mchezo ulikuwa chini ya CAF.
But Simba ilikuwepo, na ilicheza ikishuhudiwa na Viongozi wakubwa wakubwa kwenye mpira...hiyo tu ilitosha...