Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

Inasikitisha sana
 
Mbinyo wa kimataifa unazidi kuongezeka kwa serikali ya CCM Mpya .
 
Arudi Wingereza akapambane na hali yao.


View attachment 1472279
Protesters throw statue of Edward Colston into Bristol harbour during a Black Lives Matter protest rally yesterday

View attachment 1472282


View attachment 1472285
Police officers stand in a line next to protesters during a Black Lives Matter protest rally in Westminster today

View attachment 1472289

Police clash with Black Lives Matter protesters during the demonstration in Westminster yesterday

View attachment 1472291

Credit: Black Lives Matter protester says he desecrated Churchill's statue
 
Watu kwa mihemkoo lo! Kwan wk hii aliyevunjaa mguu Mbowe...tu! Walevi kibao wanavunja miguu na kupitiwa na maroli.
 
Mbowe ameshambuliwa na wahuni kutoka jeshi la polisi na inaonekana wanaungwa mkono na serikali. Nawahakikishieni kuwa hili limetufika shingoni. Tutaonyeshana uanaume hasa! Tukae tayari wajinga nyie.
Mkuu G Sam, Acha muda kidogo useme, baada ya hapo kifuate hicho unachotamani chief
 
Naona hapo sasa kumeanza kupambazuka na wale walio dhania bado tupo gizani basi wajiangalie upya
 
Utawala huu umekuwa wa kishenzi sana, tulipofikia hakuna tofauti na ule utawala dhalimu wa Dikteta Nduli Idd Amin. Magufuli atambue tu kwamba hata yeye hatoishi milele, na huenda kifo chake kikawa ni SHEREHE KWA WENGI.
 
Lijulalikali amesema Mbowe alikuwa kapiga pombe zimemjaa kichwani
Utawala huu umekuwa wa kishenzi sana, tulipofikia hakuna tofauti na ule utawala dhalimu wa Dikteta Nduli Idd Amin. Magufuli atambue tu kwamba hata yeye hatoishi milele, na huenda kifo chake kikawa ni SHEREHE KWA WENGI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…