Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke atembelea Makao Makuu ya JamiiForums

Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke atembelea Makao Makuu ya JamiiForums

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Amekutana na maofisa, wafanyakazi pamoja na Mkurugenzi wao.

Amefurahishwa sana na namna JF inavyowahudumia wateja wake.

Mungu ibariki JF

======

BALOZI WA UINGEREZA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JAMIIFORUMS

Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke leo Machi 06, 2020 ametembelea Makao Makuu ya JamiiForums ili kujifunza juu ya shughuli zinazofanywa na Taasisi ya Jamii Forums pamoja na mtandao wa JamiiForums

Katika safari hii ameweza kuongea na Uongozi, watendaji, washauri na Bodi ya Wakurugenzi juu ya shughuli zifanywazo na taasisi na kujionea jinsi wananchi wanavyohudumiwa katika kusaidia kupaza sauti zao

Aidha, Balozi amejifunza jinsi wateja wa JamiiForums na wadau wake wanavyonufaika na kinachofanywa na Taasisi na kujionea jinsi ambavyo taarifa zinachakatwa hadi kwenda kwa wadau.

Subpost 2 - BALOZI WA UINGEREZA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JAMIIFORUMS - Balozi wa ( 435 X 640 ).jpg

Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke akisalimiana na Mkurugenzi wa JamiiForums Maxence Melo

Subpost 4 - BALOZI WA UINGEREZA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JAMIIFORUMS - Balozi wa ( 434 X 640 ).jpg

Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke akisaini kitabu cha Wageni alipotembelea Ofisi za JamiiForums

Subpost 1 - BALOZI WA UINGEREZA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JAMIIFORUMS - Balozi wa ( 433 X 640 ).jpg

Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi, watendaji, washauri na Bodi ya Wakurugenzi wa JamiIforums

Screenshot_20200307-145020~2.png
 
Her excellence Sarah Cooke it's our pleasure to see you as a high profile figure visiting our JF headquarters.

We people from background are so proud of not only democracy, but the whole concept of free speech and freedom of expression.

You are always welcome at JF.
 
Pongezi kubwa kwa staff nzima ya JF. Hakika hamjafika hapo kwa bahati bali kwa jasho na masumbuko mengi.

Hongera mkurugenzi Max. A way is paved to get where you had dreamed not the day started. Always as you are now, stick to what you believe.
 
Nilishawahi kutabiri kuwa JF itakuja kuwa juu, na nikawashauri kina Maxence Melo wasiiuze maana kuna watu walitaka kumwaga dau, kukaanzishwa thread hapa na mimi nilitoa ushauri kwamba isiuzwe na kwamba baada ya miaka 10 itakuwa juu sana. Kulikuwepo na tetesi kuwa mafisadi walitaka wainunuwe.
 
Hongera sana Mkurugenzi Mero,college mate,pale DIT,2000/2006,Siku moja kulikuwa na mgomo,tumezuia staff wote wa chuo kuingia ndani,pale main gate,nilimsikia Mero,akiongea(kwa utani),politics tupu,ucheshi kibao.

Hatukujua haka kajamaa kanakolete masihara mbele ya ishu kubwa,katakuja kuwa MTU mkubwa kwenye jamii,
Kwa kutembelewa na balozi,ujumbe umewafikia wababe wa kutegemea Dora kutawala,
Ur untouchable now!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Courageous person should have asked her on the need for compensating all nations that were affected by slave trade.
 
Back
Top Bottom