Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawe makini na bashite anavamiaga ofisi za watu bila taarifa wala mialiko na mabunduki yake.I guess@Asha d ndo huyu mwenye gauni la rangi ya chenza😊!mmependeza...
Ila mm Natamani ningekuwa kwenye hyo safu especially kukaa tu getini...naapa asingekanyaga mtu wa CCM!..
Nilipenda juzi mkutano wa CHADEMA wakalizuiaWawe makini na bashite anavamiaga ofisi za watu bila taarifa wala mialiko na mabunduki yake.
Wewe ni miongoni mwa hao watumishi wa jf?Unaweza kuwa na hoja.
Lakini unaujua mfumo wa uendeshaji wa mtandao huu? Si kila aliyepo hapo anao uwezo wa kufanya hayo unayoyawaza.
Itakusaidia kitu gani kujua kama mimi "ni miongoni mwa hao watumishi wa jf"
Nakumbuka tu Pius Msekwa alipoitambua JF ingawa kwa namna ya kutopendeza... ALISEMA, KWENYE AWAMU YA PILI YA URAIS WA KIKWETE, KATIKA MAMBO YALIYOSABABISHA KURA ZA JK KUSHUKA UKILINGANISHA NA AWAMU YAKE YA KWANZA, NI JAMIIFORUMSJamiiForums inazidi kuwa juu mawinguni mara Mike Pompeo, mara Balozi wa taifa kubwa bado katibu mkuu Dr. Bashiru Ally wa CCM aje, naye aweze kutambua mchango wetu wanaJF kwa taifa letu Tanzania.
Future Impossible TenseHatua nzuri sana hii! atembelee na Magufuli tumalize kazi kabisa.
Weka huo uzi tuuoneNilishawahi kutabiri kuwa JF itakuja kuwa juu, na nikawashauri kina Maxence Melo wasiiuze maana kuna watu walitaka kumwaga dau, kukaanzishwa thread hapa na mimi nilitoa ushauri kwamba isiuzwe na kwamba baada ya miaka 10 itakuwa juu sana. Kulikuwepo na tetesi kuwa mafisadi walitaka wainunuwe.
Yule mneneI guess@Asha d ndo huyu mwenye gauni la rangi ya chenza[emoji4]!mmependeza...
Ila mm Natamani ningekuwa kwenye hyo safu especially kukaa tu getini...naapa asingekanyaga mtu wa CCM!..
Halafu kuna mikakati naona inafail...viko viwavi vilimwagwa humu kwa lengo la kushusha hadhi ya JF kwa michango ya kijingajinga na kuanzisha mada za hovyo hovyo. Hata hivyo juhudi zao za kuichafua JF naona zinazidi kugonga mwamba na JF inazidi kuimarika.Kuna mtu mahali amenuna sana baada ya picha hizi
Hakika .Halafu kuna mikakati naona inafail...viko viwavi vilimwagwa humu kwa lengo la kushusha hadhi ya JF kwa michango ya kijingajinga na kuanzisha mada za hovyo hovyo. Hata hivyo juhudi zao za kuichafua JF naona zinazidi kugonga mwamba na JF inazidi kuimarika.
Fikiria mtu hajui hata matumizi sahihi ya forum muhimu kama hii, hajui hata namna ya kufikisha ujumbe na kutetea hoja yake lakini utamkuta badala ya kutetea hoja anaanza viroja. Fikiria mtu kakazana kutetea hata yale yasiyohitaji utetezi na hawezi hata kufanya jitihada angalau kidogo za kukaa kimya kuficha ujinga wake.
Hongera JF, where we dare...tutaendelea kumkoma nyani bila kumtazama uso na koleo tutaliita kwa jina lake, koleo. Wanafiki pamoja na turncoats hatutakuwa na subra nao na tutaendelea kuwaanika kila wakijitokeza.