Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi zetu wakongwe server moja kubwa ilikuwa nje. Siku hizi sifuatilii tena.
Kwa hiyo unene ndo shape nzur...tunayo safari ndefu hakika...Mastaff wa Jf wote wanashepu nzuri,vipi bosi hapo kuwa mwembamba ?
Hamna namna akizuia hapa JF inahamia uhamishoni KE ,watu waendeleza truth.Wawe makini tu maana yule mzalendo uchwara hawezi kupenda hii kutembelewa na wale anaowaita mabeberu. Ana roho mbaya na ni katili sana huyo.
Magu anawaogopa saaaana beberus, ingawa ni mtumiaji mzuri sana wa brand zao, na sijui anaogopa nini??Hatua nzuri sana hii! atembelee na Magufuli tumalize kazi kabisa.
Unaweza kuwa na hoja.Mimi nipo tofauti kidogo, hivi hawa staff kwa kujianika kwao hivi hakutoi mwanya kwa makonda kuwa compromise na kuanza kutoa siri za wateja hasa wale wanao isema vibaya serikali....
Me nadhani nao walipaswa kuwa hiden kuliko walivyofanya hivi
Sent using Jamii Forums mobile app