Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke atembelea Makao Makuu ya JamiiForums

Wawe makini tu maana yule mzalendo uchwara hawezi kupenda hii kutembelewa na wale anaowaita mabeberu. Ana roho mbaya na ni katili sana huyo.
Hamna namna akizuia hapa JF inahamia uhamishoni KE ,watu waendeleza truth.
 
Unaweza kuwa na hoja.

Lakini unaujua mfumo wa uendeshaji wa mtandao huu? Si kila aliyepo hapo anao uwezo wa kufanya hayo unayoyawaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…