Courageous person should have asked her on the need for compensating all nations that were affected by slave trade.
Umenikumbusha mbali mkuu,huo mgomo ulikuwa wa nguvu ya umma!! Huduma za msosi zilisitishwa Tukawa tunakula vizuri kuliko hapo mess,nilitamani mgomo usiishe.Hongera sana Mkurugenzi Mero,college mate,pale DIT,2000/2006,Siku moja kulikuwa na mgomo,tumezuia staff wote wa chuo kuingia ndani,pale main gate,nilimsikia Mero,akiongea(kwa utani),politics tupu,ucheshi kibao,
Hatukujua haka kajamaa kanakolete masihara mbele ya ishu kubwa,katakuja kuwa MTU mkubwa kwenye jamii,
Kwa kutembelewa na balozi,ujumbe umewafikia wababe wa kutegemea Dora kutawala,
Ur untouchable now!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda servers-the beauty of www.
Unamsema huyu Bashiru zezeta la CCM linalosema watatumia dola kuiba kura na kubadilisha matokeo au!!!?JamiiForums inazidi kuwa juu mawinguni mara Mike Pompeo, mara Balozi wa taifa kubwa bado katibu mkuu Dr. Bashiru Ally wa CCM aje, naye aweze kutambua mchango wetu wanaJF kwa taifa letu Tanzania.
Nilishawahi kutabiri kuwa JF itakuja kuwa juu, na nikawashauri kina Maxence Melo wasiiuze maana kuna watu walitaka kumwaga dau, kukaanzishwa thread hapa na mimi nilitoa ushauri kwamba isiuzwe na kwamba baada ya miaka 10 itakuwa juu sana. Kulikuwepo na tetesi kuwa mafisadi walitaka wainunuwe.
Mafisani tena? Kwanini ulidhani hao ndo walitaka kununua?kumbe mafisani nilijua kijana Mark mzee wa facebook ambeye amenunua whatsapp, instagram nk au wazee wa google walio nunua YouTube nk!!
au bwana Gates alienunua Nokia!!!