Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Habari njema sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hivi wakuu Jf yetu hii inajiendeshaje? Kwa mbs zetu au.. Nitoeni tongotongo!
HakikaHapana ndio wanaofanya JF iendelee kuwepo kwa kulinda maudhui na watumiaji wake! Ban ni aina ya adhabu sheria na kanuni za platform ya JF zinapovunjwa ama kukengeukwa! Ban ni chuo cha mafunzo
Umeuliza swali xuri sana , lakini unadhani balozi kama wa Rwanda au Uganda aweza kuja JF kusapoti Uhuru wa kujieleza ?Nimevutiwa zaidi na "maua" ya kwenye kikombe cha chai!
Dah!
Hawa wafanya kazi wa JF ni vijana wadogo sana; au ni 'interns', au wanafunzi wanaotembelea ofisi hiyo?
Hii 'uniform' ya 'vimau' inahitaji ubunifu zaidi.
Kwa hiyo tuseme hawa mabalozi wa nchi mbalimbali hufuatilia mijadala inayoendelea hapo JF? Mbona wengi wao ni Mabeberu tu, hakuna waswahili wenzetu walio na 'interest' ya waswahili wenzao?
Aisee kumbe ofisi yetu ni matawi namna hii, hongera sana JF.
Hawapo 😂😂Sioni wanaume Tall, dark & handsome kwenye picha!
Huwa wanacheka sana hawa comment za jf
Hivi 12:44 AM ni usiku au asubuhi?
Haswa tukisoma comments za mpwayungu