Balozi wa Zambia nchini Afrika Kusini afukuzwa kazi baada ya kuamuru Wafanyakazi wake wa Kiume wamnyoe nywele sehemu za siri

Balozi wa Zambia nchini Afrika Kusini afukuzwa kazi baada ya kuamuru Wafanyakazi wake wa Kiume wamnyoe nywele sehemu za siri

Hao jamaa miyeyusho sana,Mimi ningenyoa mpaka vipele
 
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amemfuta kazi Balozi anayeiwakilisha Nchi hiyo Afrika kusini Bi. Mazuba Monze baada ya kutoa maagizo kwa Wafanyakazi wake wa kiume wamnyoe sehemu zake za Siri.

Inaelezwa kuwa Balozi huyo alitoa maagizo hayo ambayo siyo ya kidiplomasia kwa Wafanyakazi wake wa kiume licha ya wafanyakazi hao kukataa na nakueleza kuwa siyo sehemu ya majukumu yao ya kuwanyoa Mabalozi hasa sehemu zao za siri.

Baada ya wafanyakazi hao kutotii maagizo hayo Balozi huyo aliamua kuwafuta kazi Wafanyakazi hao na kulifikisha swala hilo katika Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

My Take
Ubinadamu na Utu havipo tena

Hilo jukumu angenipatia mimi tu
 
Unajua Dar ukianzisha huduma ya kuondoa private hair kimzahamzaha unapata wateja na inaweza kuwa salon maarufu hadi watu wakashangaa!

Muhimu kila gender iwe na vyumba tofauti kama ilivyo vyoo na wahudumiwe na gender zao. Ni ubunifu tu halafu baada ya muda wengine wataiga na mwiko unakuwa umevunjwa inakuwa normal business kama nyingine.

I tell you; 30 yrs ago hakuna aliyetarajia leo wanawake wangekuwa wanatembea na skin tight barabarani; but it has become normal!

Joanah, cocastic, Jaji Mfawidhi, Nifah wazo hilo japo mwanzo mgumu.
Uko sahihi, ila nasikia ipo moja ya wahindi Upanga na bei zake siyo mchezo
 
Mara nyingi hata mtu asome theory gani lakini tabia binafsi ya mtu hujionyesha pale mtu anapopata nafasi ya utawala. Broo Kuna baadhi ya wafanyakazi wanateseka Sana ila wanagugumia maumivu ndani kwa ndani sababu ya umaskini
 
Huyu bibi alitaka kuwabaka hao vijana alianzia mbali. Sasa akiridi nyumbani sijui anaanzaje kusomulia kwanini ametolewa kazini.
 
Back
Top Bottom